sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
majini ni viumbe kama tulivyoumbwa sisi, mimi na wewe. wapo majini wa kike na wakiume. wapo majini wa kila kabila kama tulivyo mimi na wewe. aisha pia kuna majini waovu na majini wenye imani kama tulivyo mimi na wewe........... HAKUNA MAHUSIANO YEYETO KWA HILO ULILOULIZA.