Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,840
Nauliza hili swali, maana naona Kila kitu kibaya ni kama Kiko kwa ajili ya Waswahili.
Makazi yakiwa Bora na mazuri huitwa Uzunguni, makazi yakiwa mabaya na duni huitwa Uswahilini. Mbwa Koko wabaya (Basenji) huitwa mbwa wa Kiswahili, na wale wazuri huitwa wakizungu.
Ng'ombe wazuri wanono, mbuzi, Bata na vingi vinevyo. Mtu mwenye tabia mbayambaya huitwa Mswahili. Mtu muungwana huitwa mzungu. Mtu asiyetunza muda hufananishwa na Mswahili na hafanishwi na mzungu.
Kuna kiongozi mmoja anaogopa kuhudhurua mikutano ya kikanda na ya kimataifa kwakuwa hajui vyema kuongea Kingereza.
Jamani tuachane na huu ubazi tupende vya kwetu
Makazi yakiwa Bora na mazuri huitwa Uzunguni, makazi yakiwa mabaya na duni huitwa Uswahilini. Mbwa Koko wabaya (Basenji) huitwa mbwa wa Kiswahili, na wale wazuri huitwa wakizungu.
Ng'ombe wazuri wanono, mbuzi, Bata na vingi vinevyo. Mtu mwenye tabia mbayambaya huitwa Mswahili. Mtu muungwana huitwa mzungu. Mtu asiyetunza muda hufananishwa na Mswahili na hafanishwi na mzungu.
Kuna kiongozi mmoja anaogopa kuhudhurua mikutano ya kikanda na ya kimataifa kwakuwa hajui vyema kuongea Kingereza.
Jamani tuachane na huu ubazi tupende vya kwetu