yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,778
- 1,226
nilipoguswa zaidi ni pale ulipoanza kuongelea kuhusu kutoumwa malaria, nikawa nimekuelewa sana...hahahaa
hata hapo na mimi kanigusa sana
nilipoguswa zaidi ni pale ulipoanza kuongelea kuhusu kutoumwa malaria, nikawa nimekuelewa sana...hahahaa
Uwe unakesha
Tena afadhali ulale chini.
Kitandani ni shida zaidi.
Dah mkuu sina cha kukupa zaidi ya like,maana umemiminika vizuri kama Safari Lager ya bariiidi, Shukrani sana mkuu
Afadhali umenielewa beh..Kamwene