CHAKATI MKATO
Member
- Dec 4, 2018
- 29
- 53
Habari wana jukwaa,
Kwa muda mrefu sana nilikuwa najiuliza hivi watu wanaotoaga ofa bar kwanini huwa hawaishiwi, au wanaotoaga misaada mikubwa pia kwa nini wanaendelea tu na maisha yao afu mimi ambaye sifanyi hivyo maisha yangu hayajabadilika kitu yapo vilevile.
Kwa muda mrefu sana nilikuwa mtu ambaye anatumia kipato chake kwa umakini mkubwa mno, kuna watu nalingana nao kipato ila wana matumizi makubwa sana sikuwahi kunua kwa nini hawaishiwi. Yaani kifupi nilikuwa sihongi, sinywi pombe sitoi misaada n.k
Sasa hivi karibuni nmeingiwa na mkono wa utoaji yaani nakuta na hela nayo inakuja hivyo hivyo yaani ni hela ambayo siitarajii ila inatokea tu hadi nashangaa. Sasa najiuliza kwavnini sikua napata kipindi cha ubahili vwangu ila sasa naipata nini kinafanya niipate hii hela? Je, kuna mtu humu hali kama hii imewahi kumtokea?
Kwa muda mrefu sana nilikuwa najiuliza hivi watu wanaotoaga ofa bar kwanini huwa hawaishiwi, au wanaotoaga misaada mikubwa pia kwa nini wanaendelea tu na maisha yao afu mimi ambaye sifanyi hivyo maisha yangu hayajabadilika kitu yapo vilevile.
Kwa muda mrefu sana nilikuwa mtu ambaye anatumia kipato chake kwa umakini mkubwa mno, kuna watu nalingana nao kipato ila wana matumizi makubwa sana sikuwahi kunua kwa nini hawaishiwi. Yaani kifupi nilikuwa sihongi, sinywi pombe sitoi misaada n.k
Sasa hivi karibuni nmeingiwa na mkono wa utoaji yaani nakuta na hela nayo inakuja hivyo hivyo yaani ni hela ambayo siitarajii ila inatokea tu hadi nashangaa. Sasa najiuliza kwavnini sikua napata kipindi cha ubahili vwangu ila sasa naipata nini kinafanya niipate hii hela? Je, kuna mtu humu hali kama hii imewahi kumtokea?