Kuna Tofauti Gani Katika Hizi Picha Japokua Wote Wanaonekana Wanajenga

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
jk1_0.jpg


nyerere+akibeba+mawe+kwa+ajili+ya+ujenzi.bmp
 
teh teh ...hiyo picha ya chini enzi hizo ilikuwa inatwa msaragambo ,watu hujitolea muda na nguvu kufanya kazi za umma chini ya usimamizi wa serikali za vijiji .kulikuwa hakuna cha huyu ni mheshimiwa wote mnakuwa sawa kwenye kazi ,wale wasio hudhuria kazi hiyo kuna mgambo wa kijiji hupita nyumba hadi nyumba kumsaka baba ,ambaye wakati huo huwa amejificha darini .wale askari wakimkosa hukimbiza kuku na kumpeleka ofisi ya kijiji kama fidia ya kutokuja kufanya kazi .hapo namuona mwalimu aliitikia wito wa kufanya kazi .kazi hiyo huchukua masaa 2 hadi 3 kutegemea ni kazi gani ..
 
Unajenga huku umevaa suti na suti yenyewe ya kupewa,kaziii kweli kweli
 
Wa chini alikuwa prezida wa ukweli, wa juu anasubiri akacheze bao
 
[QUOTE=Unajenga huku umevaa suti na suti yenyewe ya kupewa,kaziii kweli kweli

Tofauti kubwa kati ya picha hizi ni kwamba, hiyo picha ya chini ilipigwa ENZI ZILE AMBAZO VIONGOZI WOTE WALIKUWA WANAITWA NDUGU na hiyo picha ya juu imepigwa kipindi hiki ambacho kila kiongozi hadi wa Mbio za Mwenge WANATAKA KUITWA WAHESHIMIWA!!!
 
Kituko kwenye picha ya pili askari anatembea tu wakati Rais amebeba mawe! Kimaadili hii inakubalika kweli? Askari unaangalia bosi wako anabeba mzigo halafu wewe hubebi?
 
Hii ndio imeniacha hoi bin taaban! Unatumia Chepe huku umepiga magoti kazi Kwelikwelii

228610_145027525569402_100001864677275_296159_3011228_n.jpg
 
Picha ya juu anaekti kama anajenga (akiwa ndani ya suti na walio mzunguka nao wanaekti). Picha ya chini anawapaka walalahoi mafuta kwa mgongo wa chupa kwa kujitia naye ni sawa nao kumbe ............ i.e picha ya chini ni msanii zaid kwani pamoja na kuekti anajenga lakini amejivisha ulalahoi ili kuteka nyoyo za wasioona upande wapili wa shilingi.
 
Back
Top Bottom