Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
-
- #21
Mkuu, ina maana haya maneno mawili yanaweza kutumika "interchangeably"?There is no fundamental difference derived from reference to either “general secretary” or “secretary general”.
Okay...yaani Mkurugenzi Mtendaji ambalo hupendwa kutumiwa na mashirika ya kimataifa, yasiyo ya faida, na ya kisiasa.
Of course, No fundamental deferences japo mara nyingi "secretary general" wanaweza kuwa wanaitumia sana wazungumzaji kwenye mikutano yao wanapo mu adress katibu mkuu live akiwepo ndani ya vikao.Mkuu, ina maana haya maneno mawili yanaweza kutumika "interchangeably"?
Kwangu naona uko sahihi, neno 'The' ni high degree, upekee (large extent/great extent)Maneno yote kwa tafsiri ya Kiswahili ni Katibu Mkuu, ambaye ni Afisa Mkuu au kiongozi wa chama cha siasa au shirika.
Kwa lugha ya Kiingereza, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anaongezewa neno "The", ambalo hutumika kama kiunganishi cha nomino (noun) yenye upekee (specific). Umoja wa Mataifa ni Taasisi ya kipekee duniani, kwani kuna Taasisi na vyama vingi vya siasa vyenye Katibu Mkuu.
Kwa kiingereza kwa mfano hawasemi "earth" (dunia), bali "the earth" kwa maana kuwa dunia ni kitu pekee katika sayari
Hili neno "The" sio mimi niliyeliweka bali ni Mods ndio wame-edit na kuliweka.Kwangu naona uko sahihi, neno 'The' ni high degree, upekee (large extent/great extent)
... badala ya kujibu swali unaanza kufundisha definite and indefinite articles; hayo yanaeleweka na sicho alichouliza. Dah!Maneno yote kwa tafsiri ya Kiswahili ni Katibu Mkuu, ambaye ni Afisa Mkuu au kiongozi wa chama cha siasa au shirika.
Kwa lugha ya Kiingereza, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anaongezewa neno "The", ambalo hutumika kama kiunganishi cha nomino (noun) yenye upekee (specific). Umoja wa Mataifa ni Taasisi ya kipekee duniani, kwani kuna Taasisi na vyama vingi vya siasa vyenye Katibu Mkuu.
Kwa kiingereza kwa mfano hawasemi "earth" (dunia), bali "the earth" kwa maana kuwa dunia ni kitu pekee katika sayari
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Kuna tofauti gani kati ya "Secretary General" na "General Secretary"? Kwanini katibu mkuu wa umoja wa mataifa (UN) haitwi "General Secretary"?
Tafadhali tazama screenshots hapo chini;
The Secretary General
View attachment 1575007
The General Secretary
View attachment 1575008
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mmmmh mwanakwetu....ya kweli hayo?Maneno yote kwa tafsiri ya Kiswahili ni Katibu Mkuu, ambaye ni Afisa Mkuu au kiongozi wa chama cha siasa au shirika.
Kwa lugha ya Kiingereza, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anaongezewa neno "The", ambalo hutumika kama kiunganishi cha nomino (noun) yenye upekee (specific). Umoja wa Mataifa ni Taasisi ya kipekee duniani, kwani kuna Taasisi na vyama vingi vya siasa vyenye Katibu Mkuu.
Kwa kiingereza kwa mfano hawasemi "earth" (dunia), bali "the earth" kwa maana kuwa dunia ni kitu pekee katika sayari
Umeongeza swali lingine.Maneno yote kwa tafsiri ya Kiswahili ni Katibu Mkuu, ambaye ni Afisa Mkuu au kiongozi wa chama cha siasa au shirika.
Kwa lugha ya Kiingereza, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anaongezewa neno "The", ambalo hutumika kama kiunganishi cha nomino (noun) yenye upekee (specific). Umoja wa Mataifa ni Taasisi ya kipekee duniani, kwani kuna Taasisi na vyama vingi vya siasa vyenye Katibu Mkuu.
Kwa kiingereza kwa mfano hawasemi "earth" (dunia), bali "the earth" kwa maana kuwa dunia ni kitu pekee katika sayari
Kama baada ya miaka 5 bado hatujamuelewa Meko anahakikisha kwenye Kampeni za mwaka huu anaweka wazi HULKA yake.Ndio bora apitishwe tu amefanya kazi kubwa kumpinga Magufuli ni kujidhalilisha tu.
Elimu haina mwisho, kabla sijakujibu, nambie "The" ni "Article" kwa vipi?Umeongeza swali lingine.
The ni kiunganishi cha nomino? Elezea mkuu.
Nachojua the ni article.
Fafanua kama hautojali.
Wakati mwema mkuu...badala ya kunijibu unaanza stori.Elimu haina mwisho, kabla sijakujibu, nambie "The" ni "Article" kwa vipi?
Asante kwa kunisahihisha. Kama mleta mada alivyodai "mods" wamebadilisha alichouliza, nimemjibu ipasavyo... badala ya kujibu swali unaanza kufundisha definite and indefinite articles; hayo yanaeleweka na sicho alichouliza. Dah!
Mkuu Darby wewe ni mkongwe katika JF, hivyo basi nategemea kutoka kwako majadiliano yenye uhai, tija na kuelimishana. Tufanye hivyo.Wakati mwema mkuu...badala ya kunijibu unaanza stori.