Fadhili Paulo
JF-Expert Member
- Sep 1, 2011
- 3,211
- 988
Achana na boflo, kula brown bread,ni mkate wa unga ya ngano ambayo haijakobolewa, ingekuwa ugali ungesema ni ugali wa dona, ni mkate mzuri wenye viinilishe vingi zaidi tofauti na ule mweupe, ndiyo maana watu wenye kisukari na magonjwa mengine wameshauriwa kula mkate huu.asante sana.
Sasa hiyo mikate ya boflo tunapate wapi?