george tiru
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 200
- 147
Sijakataa serikali kusimamia transit cargo na hasa ukijua kuwa kuna wafanyaibiashara wengine sio waaminifu, ninachosema ni juu ya kuongeza gharama ,na hasa unapomtaka mteja tena alipe extra money,uwekwe mfumo mzuri ambao si lazima mteja alipe la km suluhisho ni escort basi Tra imlipe si yuko kazini?Mkuu naona unaliongelea hili swala upande mmoja....serikali inakosa mapato kwenye transit pale mfanyabiashara anapofanya ujanja mzigo Wa transit unapoishia hapa hapa nchini
Sent using Jamii Forums mobile app