Kuna tatizo gani bandarini na wafanyabiashara wa Congo?

PENTAKINYE

JF-Expert Member
Jan 3, 2019
817
826
Ndugu wana JF wiki sasa nasikia minong'ono wafanyabiashara wa congo wanalalamika mizigo inachelewa wanaingizwa gharama zisizo na umuhimu mara escot mara stripping hapana bial maandalizi hivi mbona inatokeaga mara kwa mara tuna wa discourage.

Hawa wadau wakubwa wa bandari yetu badala ya kuweka mazingira rafiki ili washawishiane kuja kwa wingi bandari ya dar? viongozi tuliangalie hili kwa jicho la tatu maana macho haya mawili naona hayakidhi kuona usumbufu unaotokea bandarini kumpata mteja nikazi ngumu sana.

Lakini kumpoteza ni dakika tu anahama tumesha invest vya klutosha kuiweka bandari katika ubora sasa tuangalie tusije kuwa tumepoteza gharama za bure, tuna hamu kufika kuwa taifa lenye uchumi wa kati hapo ndipo tuta enjoy matunda ya nchi

nawasilisha
 
lakini wenye vyeti feki washaga tolewa bado kuna tatizo ambalo TRA inabidi waliangalie kwa kweli
Kwa kweli hali ni mbaya kwa hawa wafanyabiashara jirani zetu, Tra kazi yao ni kufacilitate process nzima ya mzigo wa transit ili ucross border husika , kuanzia pale hao customs wengine wanaendelea, kwetu ni kinyume, TRA anataka kuchukua ushuru hata kwa transit cargo, hii si sahihi, nitoe mfano,

Kuna hili zoezi la escort kwa mizigo ambayo wao wanaita ni sensitive, hatukatai,ila tangazo lao halijasema ni mzigo kiasi ndio uwe na escort, je ni pkg 10 au ni container nzima? haingii akilini una contr yenye pkgs 1000, ila pkg 5 tu zina ctn za betri unasema lazima nilipe escort, hii haijakaa sawa, isitoshe, hizi contr za transit tuna fix tracking seal ambazo wao ndio wanacontrol.

Sasa kazi yake nini?tunawaongezea gharama zisizo kua na msingi wowote, tusijidanganye, itafika mahali tutawakosa hawa watu, wao wanaangalia factors nyingi km tuko expensives wata opt kwenda Port zingine, tutabaki tunaangaliana tu na kutoa lawama, kuondoka ni rahisi sana ila kumrudisha itachukua muda mrefu sana. Ushauri wangu kwa TRA swala la escort liondolewe kabisa tayari kuna tracking seal watu wao wafanye kazi kama inavotakiwa na si kuimpose sheria ambazo ni burden hasa kwa mizigo ya transit.
 
Kwa kweli hali ni mbaya kwa hawa wafanyabiashara jirani zetu, Tra kazi yao ni kufacilitate process nzima ya mzigo wa transit ili ucross border husika , kuanzia pale hao customs wengine wanaendelea, kwetu ni kinyume, TRA anataka kuchukua ushuru hata kwa transit cargo, hii si sahihi, nitoe mfano, kuna hili zoezi la escort kwa mizigo ambayo wao wanaita ni sensitive, hatukatai,ila tangazo lao halijasema ni mzigo kiasi ndio uwe na escort, je ni pkg 10 au ni container nzima? haingii akilini una contr yenye pkgs 1000, ila pkg 5 tu zina ctn za betri unasema lazima nilipe escort, hii haijakaa sawa, isitoshe, hizi contr za transit tuna fix tracking seal ambazo wao ndio wanacontrol. sasa kazi yake nini?tunawaongezea gharama zisizo kua na msingi wowote, tusijidanganye, itafika mahali tutawakosa hawa watu, wao wanaangalia factors nyingi km tuko expensives wata opt kwenda Port zingine, tutabaki tunaangaliana tu na kutoa lawama, kuondoka ni rahisi sana ila kumrudisha itachukua muda mrefu sana. Ushauri wangu kwa TRA swala la escort liondolewe kabisa tayari kuna tracking seal watu wao wafanye kazi kama inavotakiwa na si kuimpose sheria ambazo ni burden hasa kwa mizigo ya transit.
wafanyabiashara ni wajanja sana, ndio maana siku hizi kila lori unalo liona mengi yao yanakuwa na customs officer analisindikiza mpaka mpakani, vile vingamuzi vya kutrack mizigo wafanyabiashara wamekuwa wakivichezea
escort charge zinaongeza gharama ndio, ila lazima serikali ilinde mapato yake
 
Kwa kweli hali ni mbaya kwa hawa wafanyabiashara jirani zetu, Tra kazi yao ni kufacilitate process nzima ya mzigo wa transit ili ucross border husika , kuanzia pale hao customs wengine wanaendelea, kwetu ni kinyume, TRA anataka kuchukua ushuru hata kwa transit cargo, hii si sahihi, nitoe mfano, kuna hili zoezi la escort kwa mizigo ambayo wao wanaita ni sensitive, hatukatai,ila tangazo lao halijasema ni mzigo kiasi ndio uwe na escort, je ni pkg 10 au ni container nzima? haingii akilini una contr yenye pkgs 1000, ila pkg 5 tu zina ctn za betri unasema lazima nilipe escort, hii haijakaa sawa, isitoshe, hizi contr za transit tuna fix tracking seal ambazo wao ndio wanacontrol. sasa kazi yake nini?tunawaongezea gharama zisizo kua na msingi wowote, tusijidanganye, itafika mahali tutawakosa hawa watu, wao wanaangalia factors nyingi km tuko expensives wata opt kwenda Port zingine, tutabaki tunaangaliana tu na kutoa lawama, kuondoka ni rahisi sana ila kumrudisha itachukua muda mrefu sana. Ushauri wangu kwa TRA swala la escort liondolewe kabisa tayari kuna tracking seal watu wao wafanye kazi kama inavotakiwa na si kuimpose sheria ambazo ni burden hasa kwa mizigo ya transit.
mkuu nakuunga mkono kabisa mkuu kama umeshanotice garama ya escot tu ni millioni na kama laki nane yaani huyo officer wanampa ma allowernce kibao yaani mteja ukimuonyesha anabaki anashangaa tu jamani tusitafute mchawi eti tumelogwa na nani hakuna mchawi wahusika hasa TRA tunawaomba sana waliangalie suala hili yaani wao wakiona hata pkg kidogo ndani ya mzigo mkuwa kama ulivyosema wanataka escot biashara wasifikiri hao wanapata mafaida makuuubwa mpaka wana kuwa kama wanawakomoa yaani wakisusa tunarudi nyuma mbona mifano ipo urasimu wa mwanzo ulianza kuwapoteza watehja sana hivi karibuni maboresho yameanza kuwarudisha wanataka tuanze kuwapoteza tena
 
Hii nchi tunajua kubomoa badala ya kujenga,......hii ishu ingekua mombasa port watu wanaojielewa tayari ingekua solved hili mteja hasisumbuliwe.....

Tatizo maofisini wapo watu wanaopenda mazoea tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi hakuna kitu nachukia kama ubabaishaji kwenye biashara. Bandari yetu inabidi ifumuliwe na kusukwa upya. Kweli wabongo ni vigumu sana kuendelea kwa namna hii. Ningekuwa rais ningetupa wao washenzi baharini.
inawezekana hujuma za kurudisha nyuma juhudi za rais? maana mbona mipango mizuri tu inapangwa tunakosea wapi?hawa watendaji wa chini ndiyo shida
 
Tatizo maofisini wapo watu wanaopenda mazoea tu.
nikweli kabisa wenzetu mbona wana weza kusolve issue faster kwanini sisi tu mpaka mteja asote karibu wiki mwezi alehasara ya kutosha mpaka anafikisha mzigo hauna faida tena hivi kweli atakuwa na moyo wakurudi tena dar
 
wafanyabiashara ni wajanja sana, ndio maana siku hizi kila lori unalo liona mengi yao yanakuwa na customs officer analisindikiza mpaka mpakani, vile vingamuzi vya kutrack mizigo wafanyabiashara wamekuwa wakivichezea
escort charge zinaongeza gharama ndio, ila lazima serikali ilinde mapato yake
unaposema wafanyabishara wanavichezea siyo kweli, vingamuzi viko controlled na tra bs wanashirikiana! uwekwe mfumo mzuri tu ila si kuongeza gharama kwa mlaji, na wew sijui uko dunia gani,eti escort ofisa mmoja ana escort gari 5, 2 ziko misugusugu , 1 moro , 1 chlinze ingine iringa hyo ndo escort? tra wajipange na kusumbua wateja kisingizio mapato transit unachukua mapato gani zaid ya handling na wharfage.
 
unaposema wafanyabishara wanavichezea siyo kweli, vingamuzi viko controlled na tra bs wanashirikiana! uwekwe mfumo mzuri tu ila si kuongeza gharama kwa mlaji, na wew sijui uko dunia gani,eti escort ofisa mmoja ana escort gari 5, 2 ziko misugusugu , 1 moro , 1 chlinze ingine iringa hyo ndo escort? tra wajipange na kusumbua wateja kisingizio mapato transit unachukua mapato gani zaid ya handling na wharfage.
mkuu usiku serikali ikiwa imelalala mzigo mingi ya transit ina faulishwa njiani na kurudishwa kariakoo,Serikali yetu usiku inalala sana hakuna patrol za kutosha,nakumbuka kulikuwa na dealer mmoja wa petrol alikuwa anashusha petrol kibaha,maroli yanajazwa maji wanavuka mpaka huku tunadahani mafuta yameenda nchi jirani kumbe wajanja wamepiga hela.
ndio maana wanalalamika kariakoo hamna wengi walishazoea super profit kutokana na mizigo janja janja, baada ya vyuma kukaza lazima wafunge biashara
 
mkuu usiku serikali ikiwa imelalala mzigo mingi ya transit ina faulishwa njiani na kurudishwa kariakoo,Serikali yetu usiku inalala sana hakuna patrol za kutosha,nakumbuka kulikuwa na dealer mmoja wa petrol alikuwa anashusha petrol kibaha,maroli yanajazwa maji wanavuka mpaka huku tunadahani mafuta yameenda nchi jirani kumbe wajanja wamepiga hela.
ndio maana wanalalamika kariakoo hamna wengi walishazoea super profit kutokana na mizigo janja janja, baada ya vyuma kukaza lazima wafunge biashara
Ni sawa huko nyuma hyo michezo imefanyika sana na wao tra wanajua, cha msingi ni kuweka mfumo rafiki kbs ambao hautakua mzigo kwa hyu mteja ukizingatia huu mzgo hapa unapita tu, kweli serikali lazima ithibiti ila kwa kutoza kodi, hyo escorter nae ni binadamu na ana njaa vilevile still anaeza collude na transporter wakaiba tu.
 
Hii nchi tunajua kubomoa badala ya kujenga,......hii ishu ingekua mombasa port watu wanaojielewa tayari ingekua solved hili mteja hasisumbuliwe.....

Tatizo maofisini wapo watu wanaopenda mazoea tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona taarifa ya ufumbuzi imeshatolewa tangu Jana,na kaimu Balozi Wa DRC na mwenyekiti Wa jumuia ya wafanyabiashara pia wametoa tamko LA kuridhia makubaliano hayo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unaposema wafanyabishara wanavichezea siyo kweli, vingamuzi viko controlled na tra bs wanashirikiana! uwekwe mfumo mzuri tu ila si kuongeza gharama kwa mlaji, na wew sijui uko dunia gani,eti escort ofisa mmoja ana escort gari 5, 2 ziko misugusugu , 1 moro , 1 chlinze ingine iringa hyo ndo escort? tra wajipange na kusumbua wateja kisingizio mapato transit unachukua mapato gani zaid ya handling na wharfage.
Mkuu naona unaliongelea hili swala upande mmoja....serikali inakosa mapato kwenye transit pale mfanyabiashara anapofanya ujanja mzigo Wa transit unapoishia hapa hapa nchini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli hali ni mbaya kwa hawa wafanyabiashara jirani zetu, Tra kazi yao ni kufacilitate process nzima ya mzigo wa transit ili ucross border husika , kuanzia pale hao customs wengine wanaendelea, kwetu ni kinyume, TRA anataka kuchukua ushuru hata kwa transit cargo, hii si sahihi, nitoe mfano,

Kuna hili zoezi la escort kwa mizigo ambayo wao wanaita ni sensitive, hatukatai,ila tangazo lao halijasema ni mzigo kiasi ndio uwe na escort, je ni pkg 10 au ni container nzima? haingii akilini una contr yenye pkgs 1000, ila pkg 5 tu zina ctn za betri unasema lazima nilipe escort, hii haijakaa sawa, isitoshe, hizi contr za transit tuna fix tracking seal ambazo wao ndio wanacontrol.

Sasa kazi yake nini?tunawaongezea gharama zisizo kua na msingi wowote, tusijidanganye, itafika mahali tutawakosa hawa watu, wao wanaangalia factors nyingi km tuko expensives wata opt kwenda Port zingine, tutabaki tunaangaliana tu na kutoa lawama, kuondoka ni rahisi sana ila kumrudisha itachukua muda mrefu sana. Ushauri wangu kwa TRA swala la escort liondolewe kabisa tayari kuna tracking seal watu wao wafanye kazi kama inavotakiwa na si kuimpose sheria ambazo ni burden hasa kwa mizigo ya transit.
tuombee wasifikirie huko ingawa ni kweli bandari kuna changamoto nyingi sana ambazo zinahitaji pande zote kusimama pamoja na kutimiza wajibu wao. Single custom teritoory imekufa wapi wakati ilikuwa m kombozi wa mizigo ya congo, kila zama na kitabu chake
 
Back
Top Bottom