PENTAKINYE
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 817
- 826
Ndugu wana JF wiki sasa nasikia minong'ono wafanyabiashara wa congo wanalalamika mizigo inachelewa wanaingizwa gharama zisizo na umuhimu mara escot mara stripping hapana bial maandalizi hivi mbona inatokeaga mara kwa mara tuna wa discourage.
Hawa wadau wakubwa wa bandari yetu badala ya kuweka mazingira rafiki ili washawishiane kuja kwa wingi bandari ya dar? viongozi tuliangalie hili kwa jicho la tatu maana macho haya mawili naona hayakidhi kuona usumbufu unaotokea bandarini kumpata mteja nikazi ngumu sana.
Lakini kumpoteza ni dakika tu anahama tumesha invest vya klutosha kuiweka bandari katika ubora sasa tuangalie tusije kuwa tumepoteza gharama za bure, tuna hamu kufika kuwa taifa lenye uchumi wa kati hapo ndipo tuta enjoy matunda ya nchi
nawasilisha
Hawa wadau wakubwa wa bandari yetu badala ya kuweka mazingira rafiki ili washawishiane kuja kwa wingi bandari ya dar? viongozi tuliangalie hili kwa jicho la tatu maana macho haya mawili naona hayakidhi kuona usumbufu unaotokea bandarini kumpata mteja nikazi ngumu sana.
Lakini kumpoteza ni dakika tu anahama tumesha invest vya klutosha kuiweka bandari katika ubora sasa tuangalie tusije kuwa tumepoteza gharama za bure, tuna hamu kufika kuwa taifa lenye uchumi wa kati hapo ndipo tuta enjoy matunda ya nchi
nawasilisha