philantrhopist
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 419
- 710
huu uzi uwe pinned hapo juu
aweke orodha ya watanzania wote wajane ili iweje, unataka kuwafufua.Kifo ni siri ya Mungu,japo utapata majibu mengi tu hapa ila uhai wa Binadamu mpaka kufa kwake hupangwa na Mungu,
Hao uliowataja ni watu maarufu tu ndio maana tumewajua,swali lako lingependeza zaidi kama tungeweka orodha ya watanzania wote wajane ambao wamefiwa na waume zao.
Mzee wetu Mwinyi hakuwa anasimamia kucha lakini ana karibia 100Shida inaanzia kusimamia ukucha ,tunachosha sana mwili
Mbona unakua mjinga kiasi hicho? ni wapi nimemwambia mleta mada aweke orodha ya wajane wote?aweke orodha ya watanzania wote wajane ili iweje, unataka kuwafufua.
hiyo ya kupangwa na Mungu siyo kweli ,ila anajua mwanzo wetu na mwisho wetu pia
Una hoja isikilizwe.Shida inaanzia kusimamia ukucha ,tunachosha sana mwili
Kisayansi, mume mara nyingi ndio huwa na umri mkubwa kuliko mume, mume anapitia stress na hatari nyingi zinazozoofisha afya akipambana kulisha mke na watoto, mengine ni ajali tu za maisha.Wanabodi napenda kuanza kwa kumshukuru Mungu kwa kutulinda na kutufikisha siku ya leo.
Pili nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu na Mbunge wa Monduli Laigwanan Edward Ngoyayi Lowasa kilichotokea tarehe 10/02/2024.Pia nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha ghafla cha aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa klabu ya Yanga wakili msomi Imani Madega ambaye naye amefariki tarehe moja na Lowasa.Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.
Baada ya kupokea taarifa za misiba hii mikubwa kwa taifa letu, binafsi nikawa nawaza kuhusu namna ambavyo wanaume ndio mara nyingi wanatangulia na kuwaacha wake zao. Nikajaribu kupitia orodha ya watu maarufu waliofariki na kuacha wake zao ikawa ni ndefu mno kwa kifupi naomba nitoe japo kwa uchache:-
1.Abeid Amani Karume(Mkewe yupo hadi leo)
2.Edward Moringe Sokoine
3. Aboud Jumbe Mwinyi
4. Mwalimu Nyerere
5. Ben Mkapa
6. JP Magufuli
7. Dr. Omary Ally Juma
8. Maalim Seif Sharifu Hamad
9. Bernard Camillius Membe
10.Kapten John Komba
11. Moses Nnauye
12. Jomo Kenyatta
Listi ni ndefu sana.Sina maana kwamba wanawake ndio watangulie ila kwetu kama wanadamu na waja wa Mwenyezi Mungu tunajifunza nini?
Nawasilisha.
Hii nimeinukuu na kuipigia mstari kwa makapeni ya bluu kabisa.Niataeleza Kwa upana wa uelewa wangu:-
1.Ki Baiyolojia.
-wanaume tunazalisha Hadi uzeeni yaani tunaendelea kuwa na hamu ya kufanya ngono Hadi uzeeni ndio maana tunaoa hadi wajukuu,lakini kina mama Wana menopause ambayo huwasaidia kutunza virutubisho vyao hadi Hadi ubibi kizee!!kadiri mwanaume anavyofanya ngono ndivyo anavyokaribia kifo,IPO Siri katika kutofanya ngono ndio maana watawa wengi au jamii nyingi za siri hujitenga na ngono !!
2.Kiuchumi.
-Bado Sana sekta ya uzalishaji inaaminika ni ya wanaume yaani shughuli au kazi zote za nguvu na risky tunafanya sisi wanaume kwahiyo ajali,ulemavu,kupata sumu zinazoathiri mapafu,moyo,figo n.k hii inasababisha lifespan ya mwanamme kuwa fupi!
3.kijamii
Majukumu makubwa kenye familia,ukoo na jamii kapewa mwanamme ndio mtatuzi was changamoto za mahitaji ya wote,huu msalaba wanawake wamewatubebesha sisi hasta kama uwezo wanao,Hilo huleta sonona kwasababu ni ngumu kutimiza mahitaji ya wazazi,familia Yako na wazazi was mke wako Kwa pamoja,Bado presha ya kutotimiza hayo inamuandama Kila siku!!
4.kisiasa
Bado sisi ndio tuna tazamiwa kupigania uongozi kufa na kupona na hio huleta maadui ndani na nje ya familia,kifo hakiepikiki Kwa style hiyo!!
5.Ulozi,maagano na laana
Kila mwanamme Hadi anafikisha miaka 50 ameshajaribu mengi Santa katika utafutaji,ulozi na uganga hadi maagano mabaya keshajaribu ambayo Yana matokeo.chanya au hasi huko mbeleni!!
Laana za watoto,wapenzi wazazi kutokana na kutotimiza matarajio Yao pia zinatuandama kila kukicha!
Kurogwa au kuchezewa shere pale unapopata unafuu.wa maisha pia hufanya maisha yetu kuwanmafupi!
Ukufuatilia sana kwenye ukoo au familia wanaume tuliofanikiwa ndio hufa mapema.sana.wakiacha mali ambazo.wakati mwingine hazidumu!
Ni kuwindwa na.kuwindana Hadi siku.unaenda!!Hilo nimeona sana!!
Wengine wanaweza ongezea!!
Wanabodi napenda kuanza kwa kumshukuru Mungu kwa kutulinda na kutufikisha siku ya leo.
Pili nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu na Mbunge wa Monduli Laigwanan Edward Ngoyayi Lowasa kilichotokea tarehe 10/02/2024.Pia nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha ghafla cha aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa klabu ya Yanga wakili msomi Imani Madega ambaye naye amefariki tarehe moja na Lowasa.Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.
Baada ya kupokea taarifa za misiba hii mikubwa kwa taifa letu, binafsi nikawa nawaza kuhusu namna ambavyo wanaume ndio mara nyingi wanatangulia na kuwaacha wake zao. Nikajaribu kupitia orodha ya watu maarufu waliofariki na kuacha wake zao ikawa ni ndefu mno kwa kifupi naomba nitoe japo kwa uchache:-
1.Abeid Amani Karume(Mkewe yupo hadi leo)
2.Edward Moringe Sokoine
3. Aboud Jumbe Mwinyi
4. Mwalimu Nyerere
5. Ben Mkapa
6. JP Magufuli
7. Dr. Omary Ally Juma
8. Maalim Seif Sharifu Hamad
9. Bernard Camillius Membe
10.Kapten John Komba
11. Moses Nnauye
12. Jomo Kenyatta
Listi ni ndefu sana.Sina maana kwamba wanawake ndio watangulie ila kwetu kama wanadamu na waja wa Mwenyezi Mungu tunajifunza nini?
Nawasilisha.