Kuna siri gani ya mume kutangulia kufa?

Kuna siri gani ya mume kutangulia kufa?

Tafiti ni wanaume walio kwenye ndoa ufa mapema kuliko wasio.
Vyanzo ni vingi.
1.Kubeba maumivu / madhaifu ya mkewe Siri nyingi mfano kuchapiwa,mtoto wa nje,nk.
2.kauli chafu za wanawake Zina changia vifo vingi vya mapema kwa wanaume hasa wastaafu


Upo sahihi, wanume wanaishi Kwa stress Sana , ukitazama MTU ambaye amechelewa kuoa na anazingatia mitindo sahihi ya AFYA Mara nyingi anakuwa energetic and vitality .

Hivyo lifespan itakuwa kubwa , wanawake wanaua Sana I speak from experience.
 
Wanaume hawana uwezo wa kuhandle stress kama wanawake.
Mwanamke anatoa sumu kupitia kauli zao mwanaume upokea sumu zitokanazo na kauli.
Anaepokea ndie uathirika zaidi,zile sumu zikijazana moyoni uleta magonjwa mfano pressure,stroke,nk then mme ufa mapema.
Na mwanamke ubakia mjane akiwa yeye ndo chanzo kupitia kauli chafu.
 
Shida inaanzia kusimamia ukucha ,tunachosha sana mwili
Kama hilo ndo chanzo,babu yangu aliyekufa na miaka 86 akiwa na wake watano asingetoboa, pia waislamu wa kiume wangeshakufa sana maana wao wanaruhusiwa kuwa na mke zaidi ya mmoja, na kwa kigezo hicho wakristo wa kiume wangeishi miaka 100+ maana wao wanaoa mke mmoja.

Kusimamia kucha kunaongeza uhai wa mwanamme, ukitaka kuamini hili nenda maeneo ya pwani yanayokaliwa na waislamu, hakika wazee wa kiume ni wengi sana kuliko maeneo yanayokaliwa na wakristo
 
Hasemi kama yeye akifa
Anajua wewe lazima utangulie.

Kuna mzee mmoja aliwazika karibia wake zake watatu yeye akibaki hai, alipoulizwa mbona wakeze hufa , aliwajibu kuwa yeye huamka mapema kitandani alfajiri na kumwacha mkewe kitandani akiamini Israel mtoa roho huja alfajiri kabla kujapambazuka, hivo anayekutwa amelala ndio huchukuliwa na mtoa roho.
Sijui kama kuna ukweli juu ya hili.
 
Wanabodi napenda kuanza kwa kumshukuru Mungu kwa kutulinda na kutufikisha siku ya leo.Pili nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu na Mbunge wa Monduli Laigwanan Edward Ngoyayi Lowasa kilichotokea tarehe 10/02/2024.Pia nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha ghafla cha aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa klabu ya Yanga wakili msomi Imani Madega ambaye naye amefariki tarehe moja na Lowasa.Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.Baada ya kupokea taarifa za misiba hii mikubwa kwa taifa letu,binafsi nikawa nawaza kuhusu namna ambavyo wanaume ndio mara nyingi wanatangulia na kuwaacha wake zao.Nikajaribu kupitia orodha ya watu maarufu waliofariki na kuacha wake zao ikawa ni ndefu mno kwa kifupi naomba nitoe japo kwa uchache:-
1.Abeid Amani Karume(Mkewe yupo hadi leo)
2.Edward Moringe Sokoine
3. Aboud Jumbe Mwinyi
4. Mwalimu Nyerere
5. Ben Mkapa
6. JP Magufuli
7. Dr. Omary Ally Juma
8. Maalim Seif Sharifu Hamad
9. Bernard Camillius Membe
10.Kapten John Komba
11. Moses Nnauye
12. Jomo Kenyatta
Listi ni ndefu sana.Sina maana kwamba wanawake ndio watangulie ila kwetu kama wanadamu na waja wa Mwenyezi Mungu tunajifunza nini?
Nawasilisha.
13 .lowasa
 
Kama hilo ndo chanzo,babu yangu aliyekufa na miaka 86 akiwa na wake watano asingetoboa, pia waislamu wa kiume wangeshakufa sana maana wao wanaruhusiwa kuwa na mke zaidi ya mmoja, na kwa kigezo hicho wakristo wa kiume wangeishi miaka 100+ maana wao wanaoa mke mmoja.

Kusimamia kucha kunaongeza uhai wa mwanamme, ukitaka kuamini hili nenda maeneo ya pwani yanayokaliwa na waislamu, hakika wazee wa kiume ni wengi sana kuliko maeneo yanayokaliwa na wakristo
Umeignore factor nyingine muhimu sana. STRESS. Wazaramo ni carefree kind of people, so it's a mitigating factor.
 
Wanabodi napenda kuanza kwa kumshukuru Mungu kwa kutulinda na kutufikisha siku ya leo.Pili nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu na Mbunge wa Monduli Laigwanan Edward Ngoyayi Lowasa kilichotokea tarehe 10/02/2024.Pia nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha ghafla cha aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa klabu ya Yanga wakili msomi Imani Madega ambaye naye amefariki tarehe moja na Lowasa.Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.Baada ya kupokea taarifa za misiba hii mikubwa kwa taifa letu,binafsi nikawa nawaza kuhusu namna ambavyo wanaume ndio mara nyingi wanatangulia na kuwaacha wake zao.Nikajaribu kupitia orodha ya watu maarufu waliofariki na kuacha wake zao ikawa ni ndefu mno kwa kifupi naomba nitoe japo kwa uchache:-
1.Abeid Amani Karume(Mkewe yupo hadi leo)
2.Edward Moringe Sokoine
3. Aboud Jumbe Mwinyi
4. Mwalimu Nyerere
5. Ben Mkapa
6. JP Magufuli
7. Dr. Omary Ally Juma
8. Maalim Seif Sharifu Hamad
9. Bernard Camillius Membe
10.Kapten John Komba
11. Moses Nnauye
12. Jomo Kenyatta
Listi ni ndefu sana.Sina maana kwamba wanawake ndio watangulie ila kwetu kama wanadamu na waja wa Mwenyezi Mungu tunajifunza nini?
Nawasilisha.
Takwimu za serikali za hivi karibuni (NBS,2022) zinaonesha asilimia 42 (42%) ya kaya katika mikoa ya Mara na Simiyu inamilikiwa na wanawake; maana yake wanaume hawapo!!
 
Anajua wewe lazima utangulie.

Kuna mzee mmoja aliwazika karibia wake zake watatu yeye akibaki hai, alipoulizwa mbona wakeze hufa , aliwajibu kuwa yeye huamka mapema kitandani alfajiri na kumwacha mkewe kitandani akiamini Israel mtoa roho huja alfajiri kabla kujapambazuka, hivo anayekutwa amelala ndio huchukuliwa na mtoa roho.
Sijui kama kuna ukweli juu ya hili.
Hapana. Kuamka mapema kuna husiana na healthy lifestyle, mf huyo ukute akiamka mapema anaenda shamba, in turn mwili wake unakua active & healthier. Lakini ni lazima upate facts kwa kina ili upate conclusive answer.
 
Kifo ni siri ya Mungu,japo utapata majibu mengi tu hapa ila uhai wa Binadamu mpaka kufa kwake hupangwa na Mungu,

Hao uliowataja ni watu maarufu tu ndio maana tumewajua,swali lako lingependeza zaidi kama tungeweka orodha ya watanzania wote wajane ambao wamefiwa na waume zao.
Ni kama hujaelewa hivi, mada!.

Yote kwa yote 'why wanaume mnawahi kufa' unapotaka kujua huku mtaani wazee waliotangulia, yawezekana umri bado au unaishi baharini, kwamba huko hamna watu wanaokufa!.

Tafiti zipo wazi wanaume wanakata moto mapema sana, mfano mimi naweza kukupa orodha ya wanaume 36 akiwemo wazazi wangu.

Ukiachana na mfumo wa mwili wa kujisafisha ambao ke' wanao bado me' tunateseka sana.
 
Ni kama hujaelewa hivi, mada!.

Yote kwa yote 'why wanaume mnawahi kufa' unapotaka kujua huku mtaani wazee waliotangulia, yawezekana umri bado au unaishi baharini, kwamba huko hamna watu wanaokufa!.

Tafiti zipo wazi wanaume wanakata moto mapema sana, mfano mimi naweza kukupa orodha ya wanaume 36 akiwemo wazazi wangu.

Ukiachana na mfumo wa mwili wa kujisafisha ambao ke' wanao bado me' tunateseka sana.
Usinilazimishe kuamini kua eti sijaelewa mada kisa nimeandika tofauti na matarajio yako,hatufanani,wewe elezea kwa mtazamo wako na sio kujiona eti wewe una akili zaidi ya wengine,JF is an open forums.
 
Back
Top Bottom