Kuna siri gani ya mume kutangulia kufa?

Kuna siri gani ya mume kutangulia kufa?

Niataeleza Kwa upana wa uelewa wangu:-

1.Ki Baiyolojia.
-wanaume tunazalisha Hadi uzeeni yaani tunaendelea kuwa na hamu ya kufanya ngono Hadi uzeeni ndio maana tunaoa hadi wajukuu,lakini kina mama Wana menopause ambayo huwasaidia kutunza virutubisho vyao hadi Hadi ubibi kizee!!kadiri mwanaume anavyofanya ngono ndivyo anavyokaribia kifo,IPO Siri katika kutofanya ngono ndio maana watawa wengi au jamii nyingi za siri hujitenga na ngono !!

2.Kiuchumi.

-Bado Sana sekta ya uzalishaji inaaminika ni ya wanaume yaani shughuli au kazi zote za nguvu na risky tunafanya sisi wanaume kwahiyo ajali,ulemavu,kupata sumu zinazoathiri mapafu,moyo,figo n.k hii inasababisha lifespan ya mwanamme kuwa fupi!

3.kijamii

Majukumu makubwa kenye familia,ukoo na jamii kapewa mwanamme ndio mtatuzi was changamoto za mahitaji ya wote,huu msalaba wanawake wamewatubebesha sisi hasta kama uwezo wanao,Hilo huleta sonona kwasababu ni ngumu kutimiza mahitaji ya wazazi,familia Yako na wazazi was mke wako Kwa pamoja,Bado presha ya kutotimiza hayo inamuandama Kila siku!!

4.kisiasa

Bado sisi ndio tuna tazamiwa kupigania uongozi kufa na kupona na hio huleta maadui ndani na nje ya familia,kifo hakiepikiki Kwa style hiyo!!

5.Ulozi,maagano na laana

Kila mwanamme Hadi anafikisha miaka 50 ameshajaribu mengi Santa katika utafutaji,ulozi na uganga hadi maagano mabaya keshajaribu ambayo Yana matokeo.chanya au hasi huko mbeleni!!

Laana za watoto,wapenzi wazazi kutokana na kutotimiza matarajio Yao pia zinatuandama kila kukicha!

Kurogwa au kuchezewa shere pale unapopata unafuu.wa maisha pia hufanya maisha yetu kuwanmafupi!

Ukufuatilia sana kwenye ukoo au familia wanaume tuliofanikiwa ndio hufa mapema.sana.wakiacha mali ambazo.wakati mwingine hazidumu!

Ni kuwindwa na.kuwindana Hadi siku.unaenda!!Hilo nimeona sana!!


Wengine wanaweza ongezea!!
facts
 
1. Age difference: mume miaka 40 mke miaka 25 hapo lazima mume aanze kung'ata shuka.

2.Daily activity: wanaume wengi tunafanya shughuli za hatari hvyo tunakuwa hatarini kufariki mapema mfano viwandani na migodini hko

3.Vita:vifo vingi vya wanaume vinatokana na visasi either kazini au kwenye maisha ya kawaida watu wana windana sana hasa wanaume.

4.Stress: stress za kodi stress za ada ya watoto stress za kazini stress za wanawake stress za ndugu hapo mwanaume huwezi kutoboa kirahisi

Hayo ni machache tu huko mtaani kuna mwanamke ameolewa na wanaume watano tofauti lakini wote wamefariki mwanamke anadunda.
 
Ili suala linaanzia kwenye genetic modification namaanisha kabla ya utungishwaji mimba mbegu Y (mke) ina nguvu na speed kuliko mbegu x (mume).

Ata isiporutubishwa Y inaishi ndani ya uke kwa masaa mengi kuliko x.

DONE
 
Wanabodi napenda kuanza kwa kumshukuru Mungu kwa kutulinda na kutufikisha siku ya leo.Pili nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu na Mbunge wa Monduli Laigwanan Edward Ngoyayi Lowasa kilichotokea tarehe 10/02/2024.Pia nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha ghafla cha aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa klabu ya Yanga wakili msomi Imani Madega ambaye naye amefariki tarehe moja na Lowasa.Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.Baada ya kupokea taarifa za misiba hii mikubwa kwa taifa letu,binafsi nikawa nawaza kuhusu namna ambavyo wanaume ndio mara nyingi wanatangulia na kuwaacha wake zao.Nikajaribu kupitia orodha ya watu maarufu waliofariki na kuacha wake zao ikawa ni ndefu mno kwa kifupi naomba nitoe japo kwa uchache:-
1.Abeid Amani Karume(Mkewe yupo hadi leo)
2.Edward Moringe Sokoine
3. Aboud Jumbe Mwinyi
4. Mwalimu Nyerere
5. Ben Mkapa
6. JP Magufuli
7. Dr. Omary Ally Juma
8. Maalim Seif Sharifu Hamad
9. Bernard Camillius Membe
10.Kapten John Komba
11. Moses Nnauye
12. Jomo Kenyatta
Listi ni ndefu sana.Sina maana kwamba wanawake ndio watangulie ila kwetu kama wanadamu na waja wa Mwenyezi Mungu tunajifunza nini?
Nawasilisha.
Whenever you ejaculate, you ejaculate life. Wao mayai yao wanazaliwa nayo, sisi tunayatengeneza. Inshort mwanaume ni kiwanda cha maisha. Kwa maana hio mwanaume Kupoteza vitality mapema zaidi ya mwanamke ni lazima
 
Wanabodi napenda kuanza kwa kumshukuru Mungu kwa kutulinda na kutufikisha siku ya leo.Pili nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu na Mbunge wa Monduli Laigwanan Edward Ngoyayi Lowasa kilichotokea tarehe 10/02/2024.Pia nimepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha ghafla cha aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa klabu ya Yanga wakili msomi Imani Madega ambaye naye amefariki tarehe moja na Lowasa.Bwana ametoa na Bwana ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe.Baada ya kupokea taarifa za misiba hii mikubwa kwa taifa letu,binafsi nikawa nawaza kuhusu namna ambavyo wanaume ndio mara nyingi wanatangulia na kuwaacha wake zao.Nikajaribu kupitia orodha ya watu maarufu waliofariki na kuacha wake zao ikawa ni ndefu mno kwa kifupi naomba nitoe japo kwa uchache:-
1.Abeid Amani Karume(Mkewe yupo hadi leo)
2.Edward Moringe Sokoine
3. Aboud Jumbe Mwinyi
4. Mwalimu Nyerere
5. Ben Mkapa
6. JP Magufuli
7. Dr. Omary Ally Juma
8. Maalim Seif Sharifu Hamad
9. Bernard Camillius Membe
10.Kapten John Komba
11. Moses Nnauye
12. Jomo Kenyatta
Listi ni ndefu sana.Sina maana kwamba wanawake ndio watangulie ila kwetu kama wanadamu na waja wa Mwenyezi Mungu tunajifunza nini?
Nawasilisha.
Mkuu hii ni kanuni ya asili kwa asilimia kubwa ya viumbe hai vyote! Kula maisha na furahi ungalipo! Umauti waja upesi!
 
Ni Kweli kabisa ukiacha watu maarufuu kuna watu wengi sana nawajua aisee ata Mimi najiulizaga why
 
Sio mume sema wanaume.Swala la wanaume kufa mapema kuliko wanawake ni nature na hiyo nikwa viumbe wote wenye jinsia ya kiume wanaoishi kwa kupambana kuanzia mapenzi hadi kula.Iwe umeoa au haujaoa nature iko hivyo kwa wanaume.Kua mwanaume sio kitu rahisi ndo maana tuko kwenye risk mbalimbali zinazotufupishia maisha, na kwasababu ni matakwa ya nature hakuna wakubadilisha ilo.Cha msingi timiza wajibu wako wakutotolesha wanawake wakutosha ili uzao wako uendelee kuwepo kwenye uso wa dunia kwa miaka mingi ijayo.
 
Tena wajane 90% punde tu wanaume zao wanapokufa huanza kunawiri sura na miili
huwa tunajiuliza inakuwaje wajane wananawiri sana baada ya waume zao kufa, ina maana walikuwa wanaishi wamejibana kwa msongo wa mawazo walipokuwa wakiishi na waume zao?
 
Tafiti ni wanaume walio kwenye ndoa ufa mapema kuliko wasio.
Vyanzo ni vingi.
1.Kubeba maumivu / madhaifu ya mkewe Siri nyingi mfano kuchapiwa,mtoto wa nje,nk.
2.kauli chafu za wanawake Zina changia vifo vingi vya mapema kwa wanaume hasa wastaafu
 
DNA factors

Pia Lifestyle , wanaume wanaokufa mapema hucheza michezo ya hatari ikiwemo kufanya Ngono Sana, kutozingatia Mitindo sahihi ya AFYA

Ukimkuta mwanume ambaye hapendi kuishi na wanawake na anazingatia lifestyle nzuri ya maisha anaishi miaka mingi.

Kuhusu life span it is true wanawake wana life span kubwa plus kutokuwa na hekaheka za kuutesa mwili Sana.
 
Back
Top Bottom