Unachohitaji mara nyingi huwa sicho utakachokua nacho katika nyanja ya mahusiano...na yamkini huishia kupata kitu cha kawaida..sio kirefu wala sio kifupi..sababu hayo ndyo maisha.maana Mungu anakupa kile kinachokufaa, chaweza kuwa kirefu ama kifupiHabari wana MMU,
Nimefanya utafiti mdogo sana nimebaini wanaume warefu ni chaguo la wanawake walio wengi katika suala nzima la mahusiano ya mapenzi.
Nimepita thread nyingi sana za kutafuta wachumba hapa JF, wanawake wengi hutoa sifa za mwanaume wanayemtaka na sifa pekee ambayo inatawala sana ni "mwanaume awe mrefu" kwanini wanaume warefu?
Wanawake nisaidie katika hili tukianza na Miss Natafuta.