Kuna siku nilidobanga kwa mwanamke

Kuna siku nilidobanga kwa mwanamke

Mwaka 2000 nilikuwa namtongoza dada mmoja, alikuwa katibu mkuu wa wizara fulani, nilikuwa namtaka mno.

Sasa nikamtumia sms ya kumsalimia, badala ya kuandika hujambo? nikamuandikia hujambi?Aisee nikapokea jibu kuwa, najamba.

Duh kuja kuangalia ile meseji yangu nilisikia aibu, but nilifanikiwa kumla huyo mama na mpaka leo tupo na urafiki japo naye kastaafu yupo Mwanza.
Duh kwa umri wako haukutakiwa kuandika vitu vya hivi, kama unamla mwanamke ambaye amestaff likely wewe una 70 yrs ama zaidi
 
Huyu jamaa km ana mtindio wa ubongo post nyingi ni kujisifia mara anapika chapati za mayai ooh nilicheza utotoni na Rostam Aziz sasa hizi private life zake sijui zinatusaidia nini ? na hapo anatamba alikuwa Mhadhiri vyuo vikuu vya nje ! sijui alikuwa anafundisha ugaidi !
Anazeeka vibaya mbwa huyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom