fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,614
- 7,173
Mwaka 2000 nilikuwa namtongoza dada mmoja, alikuwa katibu mkuu wa wizara fulani, nilikuwa namtaka mno.
Sasa nikamtumia sms ya kumsalimia, badala ya kuandika hujambo? nikamuandikia hujambi?Aisee nikapokea jibu kuwa, najamba.
Duh kuja kuangalia ile meseji yangu nilisikia aibu, but nilifanikiwa kumla huyo mama na mpaka leo tupo na urafiki japo naye kastaafu yupo Mwanza.
Sasa nikamtumia sms ya kumsalimia, badala ya kuandika hujambo? nikamuandikia hujambi?Aisee nikapokea jibu kuwa, najamba.
Duh kuja kuangalia ile meseji yangu nilisikia aibu, but nilifanikiwa kumla huyo mama na mpaka leo tupo na urafiki japo naye kastaafu yupo Mwanza.