Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 484
- 799
Clinical Medicine ndo kozi ya Afya ngazi ya vyuo vya kati inayoongoza kuchukua wanafunzi wengi, lakini ndo kozi inayoongoza wanafunzi kufeli, nimepitia data za vyuo vitano nchini, nimeshtuka kidogo;
Chuo A, mwaka wa 1 walidahiliwa wanafunzi 217, waliomaliza mwaka wa 3 ni 42.
Chuo B, waliodahiliwa mwaka wa kwanza 183, waliomaliza mwaka wa 3 ni 29.
Chuo C, waliodahiliwa mwaka wa 1 ni 160 waliomaliza mwaka wa 3 ni 18
Chuo D, waliodahiliwa mwaka wa 1 ni 116 waliomaliza mwaka wa 3 ni 52
Chuo E, waliodahiliwa mwaka wa 1 ni 98 waliomaliza mwaka wa 3 ni 30.
Kwa mwendo huo hapo juu unaweza ona kabisa kuna shida sehemu, either wanafunz vilaza au Walimu sio bora, ni kozi ya ajabu, kuna mzee ana mtoto wake huu ni mwaka wa 6 ndo yupo mwaka wa 3 sasa, na ni wengi tu kama yeye.
Shida ya kozi hii ni nini hasa hadi imekuwa ngumu sana kumaliza straight ndani ya miaka 3 iliyopangwa?
Chuo A, mwaka wa 1 walidahiliwa wanafunzi 217, waliomaliza mwaka wa 3 ni 42.
Chuo B, waliodahiliwa mwaka wa kwanza 183, waliomaliza mwaka wa 3 ni 29.
Chuo C, waliodahiliwa mwaka wa 1 ni 160 waliomaliza mwaka wa 3 ni 18
Chuo D, waliodahiliwa mwaka wa 1 ni 116 waliomaliza mwaka wa 3 ni 52
Chuo E, waliodahiliwa mwaka wa 1 ni 98 waliomaliza mwaka wa 3 ni 30.
Kwa mwendo huo hapo juu unaweza ona kabisa kuna shida sehemu, either wanafunz vilaza au Walimu sio bora, ni kozi ya ajabu, kuna mzee ana mtoto wake huu ni mwaka wa 6 ndo yupo mwaka wa 3 sasa, na ni wengi tu kama yeye.
Shida ya kozi hii ni nini hasa hadi imekuwa ngumu sana kumaliza straight ndani ya miaka 3 iliyopangwa?