Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,412
- 26,893
Last month nilipigwa na Joto hapo ifakara sijawahi lipata tanzania.Joto la eneo hili hufikia hadi nyuzi joto 40 C, kumbuka hapa Dar halijawahi kuvuka 34 na watu ndio wanapiga kelele hivi
Je, kuna zaidi ya Ifakara kwa joto TZ?
Nimewasha feni upepo mkapi ila nasweat.
Lile joto kama la uchawi aisee