Iringa ni adimu kukatika umeme, ukikatika baada ya saa mbili unarudi na kuja kukatika hadi week ikatikeKwa kipindi hiki kuna sehemu hapa Tz umeme huwa haukatiki kabisa au kuna unafuu?
Hili linchi limenishinda tabia hadi huku Moshi unakatikakatika hovyo tu
Hivi kuna sehemu Tanzania umeme huwa haukatiki kabisa?
Songea umeme haukatiki hata kidogooo. Hakuna mgao kabisaaa. Tunasikia tu kama kuna mgao wa umemeKwa kipindi hiki kuna sehemu hapa Tz umeme huwa haukatiki kabisa au kuna unafuu?
Hili linchi limenishinda tabia hadi huku Moshi unakatikakatika hovyo tu
Hivi kuna sehemu Tanzania umeme huwa haukatiki kabisa?