REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,460
- 9,394
Muwe mnatunza akili hata kidogo. CCM ina hela ya kuwasomesha watu au za kupora?
Nikuulize swali ushawahi kula pesa ya serikali iwe mshahara, malipo ya kazi yoyote Ile kama bado pambana uionje utajua utamu wake na utajua kwanini space uko watu wanalilia ukiamini wanatetea wanyonge kumbe hapana ni utamu wa pesa ya serikaliMuwe mnatunza akili hata kidogo. CCM ina hela ya kuwasomesha watu au za kupora?