Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,816
- 40,422
Kocha alisafiri baada ya mechi kuanza?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uyo Sweswe katisha.......nacheza mpira lakini sijavunja rekodi hio[emoji23][emoji23][emoji23]
Kocha alisafiri baada ya mechi kuanza?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uyo Sweswe katisha.......nacheza mpira lakini sijavunja rekodi hio[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii kama chai. Tuongeze sukari.Namba 2 lazima alikuwa anaukimbia mpira.....yaani timu ikishambulia anajifanya beki na timu yake ikishambuliwa yeye anaenda mbele kuusubiri mpira.Mpira ukipelekwa mbele atafanya kila mbinu apishane nao anarudi nyuma...sio bure
Na watu walivyo na roho mbaya wakiona unataka kuivunja wanakubamiza na mpira makusudi. Kiukweli jambo hilo ni gumu sana.Hii kama chai. Tuongeze sukari.
Rekodi hiyo kuivunja lazima uukimbie uwanja.
Kila wakikutafuta huonekani uwanjani.
Maana, ukicheza unaweza kuifikia, lakini si kuivunja.