Sungusunguu
JF-Expert Member
- Aug 4, 2018
- 1,280
- 998
Habarini!
Kuna rafiki yetu mmoja mke wake kajinyonga wakiwa pamoja ndani na mpaka sasa mwanaume kakamatwa na yuko polisi.
Je, ni sahihi kijana huyo kushikiliwa na je sheria inasemaje mtu akifa ndani ya nyumba na mkiwa pamoja kwani kwa maelezo ya uyo jamaa anadai yeye aliwahi kulala na mwanamke alibaki sebuleni ambako akakuta kajinyonga na anadai aliwahi kumtoa kamba shingoni na kumfungua kisha baadae ndo akaanza kutoa taarifa kwa majirani.
Kuna rafiki yetu mmoja mke wake kajinyonga wakiwa pamoja ndani na mpaka sasa mwanaume kakamatwa na yuko polisi.
Je, ni sahihi kijana huyo kushikiliwa na je sheria inasemaje mtu akifa ndani ya nyumba na mkiwa pamoja kwani kwa maelezo ya uyo jamaa anadai yeye aliwahi kulala na mwanamke alibaki sebuleni ambako akakuta kajinyonga na anadai aliwahi kumtoa kamba shingoni na kumfungua kisha baadae ndo akaanza kutoa taarifa kwa majirani.
