Konda wa bodaboda
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,982
- 4,164
Na gharama zao zikoje kwa mwezi?satellite dish ni nzuri kwa matumizi hususan ya taasis kama shule, hostpital n.k speed ipo fresh sana binafsi natumia ila kwa mtu moja moja ni garama kufunga mfumo huo.
kama una hela ya kutosha Avanti Communications wapo vizuri speed yake ni balaa inazidi 30mb/s kulingana na matumizi (idadi ya watu walio connect ktk network)