Kuna option zipi za kupata internet sehemu isiyo na internet

Bwasheemweusi

Member
May 6, 2017
39
17
Ni matumaini yangu mko vizuri wanajamii, kwa kifupi kuna sehemu kijijini maeneo yanayozunguka kuna mtandao wa internet wa isp mbalimbali lakini tatizo ni kuwa hapa kwenye eneo hili ambalo lipo bondeni kidogo mtadao wa internet haupo kabisa japo signal za simu zipo na kwa mitandao mingine zinakuja na kupotea , kimsingi kuna uhitaji mkubwa wa interneti kwa ajili na majengo hayapo sehemu moja kuna jengo moja la ukubwa wa 40 x 20 m baada ya 100m kuna jingine ukubwa ni kama ekari moja baada ya 10m kuna lingine ukubwa ni robo eka baada ya 200m kuna jingine la 200m so ni option zipi zipo kwa ajili ya kuweka mtandao wa interneti ...utakuwa unajiuliza ni nini ni vituo vya watoto yatima na shule yao na hospitali na ofisi
 
kama una budget nzuri unaweza kufunga satelite internet hizi huwa zinapatikana maeneo almost yote.

kuhusu hio mitandao umejaribu kutafuta halotel na smart? hawa jamaa wana coverage kubwa ya network
 
Smart
kama una budget nzuri unaweza kufunga satelite internet hizi huwa zinapatikana maeneo almost yote.

kuhusu hio mitandao umejaribu kutafuta halotel na smart? hawa jamaa wana coverage kubwa ya network
baadhi ya mikoa awapo.
 
Ni matumaini yangu mko vizuri wanajamii, kwa kifupi kuna sehemu kijijini maeneo yanayozunguka kuna mtandao wa internet wa isp mbalimbali lakini tatizo ni kuwa hapa kwenye eneo hili ambalo lipo bondeni kidogo mtadao wa internet haupo kabisa japo signal za simu zipo na kwa mitandao mingine zinakuja na kupotea , kimsingi kuna uhitaji mkubwa wa interneti kwa ajili na majengo hayapo sehemu moja kuna jengo moja la ukubwa wa 40 x 20 m baada ya 100m kuna jingine ukubwa ni kama ekari moja baada ya 10m kuna lingine ukubwa ni robo eka baada ya 200m kuna jingine la 200m so ni option zipi zipo kwa ajili ya kuweka mtandao wa interneti ...utakuwa unajiuliza ni nini ni vituo vya watoto yatima na shule yao na hospitali na ofisi
Inatakiwa kufungiwa satellites dish mkuu na unapata internet poa kabisa kwa speed nzuri kabisa up and down
 
Smart

baadhi ya mikoa awapo.

satellite dish ni nzuri kwa matumizi hususan ya taasis kama shule, hostpital n.k speed ipo fresh sana binafsi natumia ila kwa mtu moja moja ni garama kufunga mfumo huo.

kama una hela ya kutosha Avanti Communications wapo vizuri speed yake ni balaa inazidi 30mb/s kulingana na matumizi (idadi ya watu walio connect ktk network)
 
Ni matumaini yangu mko vizuri wanajamii, kwa kifupi kuna sehemu kijijini maeneo yanayozunguka kuna mtandao wa internet wa isp mbalimbali lakini tatizo ni kuwa hapa kwenye eneo hili ambalo lipo bondeni kidogo mtadao wa internet haupo kabisa japo signal za simu zipo na kwa mitandao mingine zinakuja na kupotea , kimsingi kuna uhitaji mkubwa wa interneti kwa ajili na majengo hayapo sehemu moja kuna jengo moja la ukubwa wa 40 x 20 m baada ya 100m kuna jingine ukubwa ni kama ekari moja baada ya 10m kuna lingine ukubwa ni robo eka baada ya 200m kuna jingine la 200m so ni option zipi zipo kwa ajili ya kuweka mtandao wa interneti ...utakuwa unajiuliza ni nini ni vituo vya watoto yatima na shule yao na hospitali na ofisi
Wasiliana na TTCL upate huduma kwa njia ya Satellite!
 
satellite dish ni nzuri kwa matumizi hususan ya taasis kama shule, hostpital n.k speed ipo fresh sana binafsi natumia ila kwa mtu moja moja ni garama kufunga mfumo huo.

kama una hela ya kutosha Avanti Communications wapo vizuri speed yake ni balaa inazidi 30mb/s kulingana na matumizi (idadi ya watu walio connect ktk network)
soma vizuri alichoandika mtoa mada, kuna majengo mengi ikiwemo hospitali, kituo cha yatima, shule nk
 
asante,mi mwenyewe halotel naiaminia ila halotel pia ni bar moja inakuja na kupotea ila kwenye mwinuko jirani na hapo ipo fresh tu, voda ipo bar nyingi tu lakin intenet ndo hamna
 
asante,mi mwenyewe halotel naiaminia ila halotel pia ni bar moja inakuja na kupotea ila kwenye mwinuko jirani na hapo ipo fresh tu, voda ipo bar nyingi tu lakin intenet ndo hamna

hapo kwenye muinuko kwa jirani inapopatikana kama sio mbali sana na kwako eka router then tengeneza wifi itafika kwako utumie internet.
 
hapo kwenye muinuko kwa jirani inapopatikana kama sio mbali sana na kwako eka router then tengeneza wifi itafika kwako utumie internet.
Ata mm ninatatizo iloilo holotel nkiwa nje inashika vzur 3G ila nikiingia ndan hakuna netwerk kbisa...
Izo rooter na wifi zo znatengenezwa au au mpaka dukan
 
Ata mm ninatatizo iloilo holotel nkiwa nje inashika vzur 3G ila nikiingia ndan hakuna netwerk kbisa...
Izo rooter na wifi zo znatengenezwa au au mpaka dukan
madukani mkuu, ila kwa kutest unaweza hata tumia simu yako na ya mtu wa karibu.

nenda hio sehemu yenye network halafu kwenye simu yake eka on tethering and portable hotspot (hope unaju kuieka) halafu rudi ndani tumia simu nyengine kuconect na wifi ya simu yako then tumia internet hata kama humo ndani hamna.
 
Duh, Umejaribu kufanya research katika majengo yote hayo na ukakuta hakuna mtandao unaoshika vizuri.?
 
madukani mkuu, ila kwa kutest unaweza hata tumia simu yako na ya mtu wa karibu.

nenda hio sehemu yenye network halafu kwenye simu yake eka on tethering and portable hotspot (hope unaju kuieka) halafu rudi ndani tumia simu nyengine kuconect na wifi ya simu yako then tumia internet hata kama humo ndani hamna.
Bas akuna aja yakuwa na rooter nitafute tu cm nyingine mkuu
 
Back
Top Bottom