<br />TCU wamepoteza keys za ofisi.. Alafu 2day network ya mgao.. Pls dnt take t jokly nna asira ya nyigu.. I hate everythn
<br />JMC hata me memind!tokeo wala halitok wiki hii!<br />
<br /><br />
<br />
<br />Hilo nimeshali0na ka vp ata walitoe next year poa 2. I hate dis country bro<br />
<br /><br />
<br />
<br />Yaani ndo maana ndugu zetu waliopo vyuoni migomo kila mara,daah yaani ndo 1/2 karne ya Uhuru!!!!!
<br />Ka vipi msipanic mana hamuwezi jua kwamba wale wenye hasira ndo wanafanya kuchelewa kutoka kwa results.so be patient n zen wait a little japo kuwa inauma mana wazazi wana2ona kama wadanganyifu hasa kwa wale ambao matokeo yako mguu nje mguu ndani