Old moshiiii... My school... I luv the school.. Unaenda combination gani kijana??? Kama pcm utamkuta gwiji la namba..mr. Kinunda.... Mpe salamu zetu sana...
Me nimechaguliwa pale Pcb vp lakin mazingira hiyo combination hapo ? Na je nilazima kwenda prepo kila siku au?
Mkuu vp uazimishaji wa vitabu shuleni vipo vya kutosha? Hasa vya phys, Chems &bios!
Old moshiiii... My school... I luv the school.. Unaenda combination gani kijana??? Kama pcm utamkuta gwiji la namba..mr. Kinunda.... Mpe salamu zetu sana...
Me nimechaguliwa pale Pcb vp lakin mazingira hiyo combination hapo ? Na je nilazima kwenda prepo kila siku au?
kijana pale ni hakuna kulala ni msuli kwenda mbele.... nenda kajisahau ulale utavuna chako.....ulichopanda ...kasome kijana ....msuli yatima pale ndo utakutoa lasivyo..... ukifika msalimie mzee Omy
Mazingira ni mazuri... Hayana shida... Waalimu wa biology kipindi naondoka walikuwepo.. Hata chemistry waliletwa.. Physics ndio sina uhakika..maana niliskia mwalim msami a.k.a pdidy amepandishwa cheo na kua mkaguzi.. Huyu ndo alikua gwiji la physics balaa... Alinisaidia sana kupata A ya physics bila hata tution.sasa sijui kama kuna waalimu wengine wameletwa..ila mazingira ya shule sio mabaya.... Prep kwenda ni wewe mwenyewe... Hakuna ulazima..taa zipo on usiku kucha.. Sio kama seminari.. All in all.. Sijawahi kuenjoy maisha ya kusoma sekondari zaido ya oldmoshi.. Ma hata matunda yake mwisho wa form six yalikua mazuri kwangu
Old moshiiii... My school... I luv the school.. Unaenda combination gani kijana??? Kama pcm utamkuta gwiji la namba..mr. Kinunda.... Mpe salamu zetu sana...
kijana pale ni hakuna kulala ni msuli kwenda mbele.... nenda kajisahau ulale utavuna chako.....ulichopanda ...kasome kijana ....msuli yatima pale ndo utakutoa lasivyo..... ukifika msalimie mzee Omy
Kuna yule mama wa chem bd yupo?
Kuna yule mama wa chem bd yupo?
Kinunda! dah, unanikumbusha mbali sana mkuu, nilikua namkubali sana mzee PDD (Msamy) kwenye suala zima la physics ila siku hizi amekua mkaguzi.
Mzee Omy bado yupo aisee na jiko lake...
Mzee Chami yupo sana na Mana Recho kama kawaida yao...Nilitoka hapo majuzi...