Kuna nini nyuma ya ndoto hii? Naomba msaada

Hapo inategemea na wewe mwotaji uwa unaotaje, Mimi nikiona inakuwa hivyo hivyo Kama nilivyoota

Kuna mjomba angu aliota kijijini kwetu Kuna msiba Tena huyo MTU kafa gafla,

Akaamka asubuhi akatuadisia tukacheekaaa Tena anamtania Bibi kwenu Kuna kizee kitavuta
Baada ya siku tatu mjomba akaanguka seblen huku kashika sim hapo hapo akafa
 
Habari zenu wakubwa kwa wadogo.

Niende kwenye mada kuwa Leo nimeota tena kuwa nimegombana na mdogo wangu aliyenifata kufikia kiasi cha yeye kukimbia/kuhama kabisa nyumbani na kwenda kwa majirani kuomba msaada huku nikiwa sijui chanzo chake.

Wakati huohuo ninamuona bibi yangu mzaa baba huyu ni Marehemu lakini nashangaa yupo pale nyumbani na wala hanisemeshi chochote kuhusiana na ugomvi wa dogo langu ikumbukwe bibi huyu tayari nimarehemu(3yrs ago) kwakweli nimestuka mno na Home wazazi walikuwa wamesafiri tukabaki 3tu mimi, dogo na Bibi (ambaye tayari nimarehemu)

Wadau mwenye kujua tafsiri ya hii ndoto tafadhali pia ushauri nini nikifanye yasinitokee tena haya ndugu zangu?
Ndoto zinatumika kufikisha taarifa kwenye ulimwengu wa roho.Kila ndoto ina maana.Na sio kila mtu anaweza kutafsiri kila ndoto.Nikushauri nenda kwa viongozi wako wa kiroho watakupa tafsiri iliyosahihi zaidi au mwongozo wa yupi unaweza kumwendea ili akupe tafsiri hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom