Lady doctor
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 8,756
- 6,995
umeoa halafu bado unapelekeshwa na kutongozwa??????.
hata mi namshangaa ujue!
umeoa halafu bado unapelekeshwa na kutongozwa??????.
umeoa halafu bado unapelekeshwa na kutongozwa??????.
Nimefahamiana na dada mmoja,
Kila siku akawa ananitumia ujumbe mfupi kwenye simu yangu, i miss u, nikadhani kawaida. Baadaye akanitafuta facebook, Jambo moja alilogundua bila hata kuniuliza, nina watoto wawili ambao picha zao nimeweka facebook. Jana jioni akanitumia msg, kumbe una watoto wawili? nikajibu ndiyo.
Baadaye akanitumia message kuwa ana ombi moja kwangu. Nikadadisi ni ombi gani hilo? Akasema nataka mtoto unizalie, kama niko tayari tukapime then nimpe ujauzito basi, nikamwambia nina familia, akasema hataki ndoa, wala hataki mimi nimlee mtoto, anachotaka ni mimba tuuu. Kilichonishangaza hatujajadili mambo ya mapenzi, hatujajadili mambo ya kusema "i love you" sasa from "i miss you" to "nataka unipe mtoto" imenishangaza kidogo.
Nimeshindwa kumjibu lolote, kwani kuna agenda gani nyuma ya pazia?
Nimemhoji kwani huna mume? akasema ana mchumba lakini kwa kuwa hajamuoa bado, yeye ana maamuzi yake mwenyewe na maisha yake na haingiliwi na mtu.
Leo asubuhi nimefungua facebook, nimekuta ameweka comment kwenye picha za watoto wangu "hongera sana kwa watoto wazuri sana.."
Nimeshindwa kumwelewa, anataka kunitega kwa mimba ili baadaye avuruge ndoa yangu? au amevutiwa sana na watoto wangu kiasi cha yeye kutamani kuwa na watoto kama wangu, na hatima yake ni nini?
wewe unajua kwa nini mfungwa huwa anapenda kutoka jela , hizi nyumba zina ladha yake na machungu piaSasa ushauri wa nini wakati mke unae?