Kamakabuzi
JF-Expert Member
- Dec 3, 2007
- 2,861
- 1,302
Kuna tetesi kuwa shule ya sekondari inayoitwa Mwenge open academy imekimbiwa na waalimu wote, Hivi sasa wanafunzi wanahaha, hawajui hatma yao, hasa wale wa kidato cha tano. Wenyw habari zaidi watujuze.