wakimataifa.
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 1,625
- 558
ni muda akina zito na kubenea kusemewa kwenye mitandao kutaka uenyekiti wa kamati ya PAC.
aidha wao kwa maana moja au nyingine kujifanyia kampeni
kinachonishangaza ni nini hasa wanachokihitaji kwa kujifanya eti wanaibua uozo kumbe kuna kitu kimejificha nyuma yao.
na huyu kubenea alipoona hana dalili ya kupata nafasi hiyo, yeye anajifanya eti ataleta hoja kuhusu escrow bungeni.ili mfalme wa mwanzo awaone kama litaingizwa bunge
aidha wao kwa maana moja au nyingine kujifanyia kampeni
kinachonishangaza ni nini hasa wanachokihitaji kwa kujifanya eti wanaibua uozo kumbe kuna kitu kimejificha nyuma yao.
na huyu kubenea alipoona hana dalili ya kupata nafasi hiyo, yeye anajifanya eti ataleta hoja kuhusu escrow bungeni.ili mfalme wa mwanzo awaone kama litaingizwa bunge