Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,001
Boss kwenye Red hapo Juu panakaaje???sifa ni nyingi kwa kweli
aliwai kusema anaumbo zuri hatapa usumbufu wa wanawake
ana tabia nzuri mkewe hatapata raha
ana juhudi ya masomo na ana akili darasani
ana upendo
na hii ni kama biashara ya kila siku mimi kusikiliza masifa ya bwana mdogo
mpaka inakera
Mwambie kwa upole sana siku akianzisha hizo story zake " Naona Daily unaleta story hizo hizo za kumsififia dogo, je ushawahi kumwambia yeye mwenyewe,kama hujamwambia kamwambie ajue na kama tayar ushamwambia basi naomba hili lisiwe wimbo wa Taifa"
Question: Kwani Tabia za mdogo wako zimekaaje,na maanisha ni Mkware na maanisha playe???
Usipokuwa mkali Dogo atakulia Tundi Mazee