VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
- Thread starter
- #61
Mkuu mimi mdogo wangu ni handsome balaa halafu pia ni mpole, Mimi ni exactly the opposite (i.e Ugly and well, na mkali pia). Na mara nyingi kama sio zote wale ma-gf wangu wanayekutana naye kwa mara ya kwanza kwa kweli huwa anawachanganya sio polepole. Sasa unajua mimi huwa nafanya nini? Yaani kwanza honestly hicho kitu huwa hakiniumizi kichwa hata kidogo, kwa sababu kwa kweli, msichana wangu akianza tu kuwa dah unajua mdogo wako sijui hivi au vile, mimi sasa ndio anakuwa kama amefungua encyclopedia ya sifa za dogo, kwa sababu nitamwaga sifa lukuki hapo hadi mwenyewe atabloo. Halafu sio kwamba namwaga kwa kinyongo, yaani ni kwa moyo mweupeeeeeeeeeeee. Mara zote huwa hawarudii tena hizo habari.
mkuu hii nitaifanyia mazoezi na kuitumia
nadhani kuna kitu na kosea ndio maana kula sana hivi nyimbo za sifa kwa dogo.
ulichosema kinafafana lakini inasikitisha sana maana dogo yeye bado mbichi
wakina mama/dada hapo watakuwa hawafanyi haki mbona mimi sifanyi hivyo