Jamani baada ya kuuawa kwa balozi wa marekani libya, nini kinaendelea huko 'duniani' kwa sasa? Nasikia wamarekani wamedhibiti balozi zao vilivyo, kulikoni hapa dar es saalaam? Napo wameongeza usalama? Tupeane taarifa jukwaani
Jamani baada ya kuuawa kwa balozi wa marekani libya, nini kinaendelea huko 'duniani' kwa sasa? Nasikia wamarekani wamedhibiti balozi zao vilivyo, kulikoni hapa dar es saalaam? Napo wameongeza usalama? Tupeane taarifa jukwaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.