G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Kumbe Rais Magufuli aliwachokoza sana EU? Kuna NGO moja kutoka EU ambayo iliamua kufuatilia sakata la kupotea Ben Saanane na Azory Gwanda pamoja na kushambuliwa Tundu Lissu kwa risasi lakini cha ajabu watu wa hiyo NGO waliamriwa kuondoka nchini haraka iwezekanavyo.
Pia zipo taarifa kuwa kituo cha BBC nacho kiliamua kufuatilia sakata hilo lakini kilipigwa marufuku na kupewa karipio kali. Nini tatizo?
Aidha habari zinasema kuwa NGO moja kutoka EU iliyokuwa ikifadhili program ya "Haki elimu" nayo ilifukuzwa nchini na shughuli zake zote kusitishwa.Nini tatizo?
Hayo yote tisa kumi NGO zilizokuwa zikishughulikia utafiti wa magonjwa yajulikanayo kama "tropical diseases" nazo ziliamriwa kusitisha shughuli zake nchini. Nini tatizo?
Kwa hakika serikali ya Rais Magufuli ina mengi ya kujibu!
Pia zipo taarifa kuwa kituo cha BBC nacho kiliamua kufuatilia sakata hilo lakini kilipigwa marufuku na kupewa karipio kali. Nini tatizo?
Aidha habari zinasema kuwa NGO moja kutoka EU iliyokuwa ikifadhili program ya "Haki elimu" nayo ilifukuzwa nchini na shughuli zake zote kusitishwa.Nini tatizo?
Hayo yote tisa kumi NGO zilizokuwa zikishughulikia utafiti wa magonjwa yajulikanayo kama "tropical diseases" nazo ziliamriwa kusitisha shughuli zake nchini. Nini tatizo?
Kwa hakika serikali ya Rais Magufuli ina mengi ya kujibu!