Mama Brian
JF-Expert Member
- Feb 7, 2010
- 320
- 21
Yapo mai dea.. ila tatizo ukiingia mapenzini huku unaamini hakuna mapenzi ya kweli ndo shida inapoanzia..
Mh mayasa majibu yako yametulia kama Avatar yako dear, cheers!
Yapo mai dea.. ila tatizo ukiingia mapenzini huku unaamini hakuna mapenzi ya kweli ndo shida inapoanzia..
kwan nan anakujua ata km ukisema?
yap si vyema kutoa siri za ndan..bt uyu ajakwambia umpe siri zako yeye anatakla vsa mkasa ili apate kujifunza..vsa ni lazima vilikuwa vnajulikana kdg na sio siri kivile km ambavyo mtu angekuuliza mkeo ana alama gan kwenye.....
so apa uyu ajaomba ajue siri zenu anataka VISA MKASA VILE aMBAVYO ANAWEZA KUJIFUNZA KITU...
teh teh, umenivunja mbavu ila kweli dear! halafu mkikwaruzana we usiombe baada ya hapo penzi linaibuka upyaaaaaaaaaaaaa!