Kuna ndoa au mahusiano yenye raha siku zote pasipokuwa mikwaruzano?

kwan nan anakujua ata km ukisema?
yap si vyema kutoa siri za ndan..bt uyu ajakwambia umpe siri zako yeye anatakla vsa mkasa ili apate kujifunza..vsa ni lazima vilikuwa vnajulikana kdg na sio siri kivile km ambavyo mtu angekuuliza mkeo ana alama gan kwenye.....

so apa uyu ajaomba ajue siri zenu anataka VISA MKASA VILE aMBAVYO ANAWEZA KUJIFUNZA KITU...

Invisible rudisha thanks haraka bana! I love you ROSE!
 
Ndio, kama mkiacha visa,lawama,ubinafsi,ukajua mwenzako anataka nini na hataki nini ugomvi utaanzia wapi???????
Siku zooote kwenu ni kama sikukuuu raha tupu.
 
Jamani ndoa haina formula so hata mtu akikuelezea kisa cha namna fulani na jinsi alivyotatua inaweza isewe model/kanuni ambayo itaweza kutatua the same tatizo ukija kulipata. Mara nyingi swali kama lako watu wengi hawawezi kuwa tayari kukueleza exactly kisa ni ngumu kidogo, maana hata kama mtu hakujui kukueleza kisa bado kama mwanandoa hujisikii vizuri kulieleza tatizo lako unless unaeleza kwa mtu ambaye unataka akusaidie mawazo. But wanaokuambia ndoa ni kula bata tu wanakudanganya hiyo sio reality, ndoa lazima tu mpitie ups n downs no matter how you love each other, issue kubwa ni how you communicate kusolve tatizo linalowakabili
 
Hakuna ndoa inayokuwa na furaha siku zote,ila zinazidiana kiwango cha stofahamu/magomvi.
kama wadau walivyochangia kikubwa ni kumshirikisha Mungu na kuwa muwazi kwa mwenzio.
Visa ni vingi Mimi simu ya mkononi ilinileta balaa kwa kupigiwa na msichana tunayefanya naye kazi mbaya zaidi ilikuwa kwenye loud speker hivyo sauti ikasikikia na ilikuwa si kwa nia mbaya lakini tafsiri iliyochukuliwa nimeweka sauti ya juu ili kumfanya asikie sauti hiyo ya kike.ila namshukuru Mungu tulliyamaliza kwa wazazi na mpaka sasa tunaishi vizuri.
 
Back
Top Bottom