Jipu mubashara kabisaKuna wale ambao wakikukuta bado bikra watasubiri lakini pale unaposema 'uliumizwa na sasa umeamua hivi' ni wachache ambao watakuelewa.
Kusubiri kwa maana ipi?
wewe si bikira?atakusubiri wewe..
au unataka hata huko pembeni nako asiende kabisa?
wanaume kibaiolojia sex ni kutoa kitu..
ina release a lot of tension inasaidia mtu ku think straight..
inamuepusha na mifadhaiko mbali mbali...
Kama unataka akusubiri wewe ni sawa..
lakini akishindwa huko pembeni usimlaumu
wengine wakiwa na mahitaji ya sex wanaweza kuwa 'wehu' kidogo
unachokiweza wewe sio kila mtu anakiweza.....
watu wanakula chakula daily.....unafikiri maana halisi ya afya njema ni ipi?
Kuoa bila kuonja ningumu kumeza aiseee wengine ckuyandoa ukipigamashine unakuta ilishatoka kitamboo tyuu alafu maji mengiii
Sasa hamu zangu nitamalizia wapi? Unaniruhusu ku cheat indirectly. Lets be realistic, wakati hizo issue za kusubiri hadi ndoa zinapangwa au kuandikwa watu walikuwa wanaoa/kuolewa wakibalehe tu.Hili linanisumbua akili kidogo, nauliza tu jamani hivi kuna mwanaume ambaye yupo tayari kuingia ktk majukumu ya ki ndoa lakini akasubiri asifanye ngono kabla ya ndoa? Nahitaji tu kujua kama wapo maana hii imekua kawaida sex before marriage, nimesikitika sana hata wale ninao waamini kua ni wacha Mungu wanafanya ngono kabla hawajaoa na kusali wanasali sana tu, inatishia amani hata kwa wadogo zetu mabikra watajifunza nini hapa. Kwani kama unampenda mtu akakwambia msubiri tatizo liko wapi? Si unampenda au siku hizi watu hawapendi?
Do not justify dhambi kwa interests zako binafsi
Maisha ya ndoa ni zaidi ya papuchi mnato au papuchi mdebwedo.Ndoa ni maisha ya zaidi ya watu wawili,majukumu ya maisha ni magumu sana.Muombe Mungu sana kupata mwenza ambaye ni rafiki kuliko kuwa Mke/Mme,kuna muda mnaweza kupitisha hadi mwezi hamja duu,hadi wife inabidi akuingie kiutani japo kukujenga kihisia.Mambo ya kibamia sijui bwawa kwenye ndoa halipo,kwani wachepukaji wote wake/waume zao wana mabwawa/vibamia? Hapana,ni hulka tu,kuna watu wana mihogo/minato lakini wenzi wao ndio mabingwa wa kuchepuka.Kuvumiliana ni rahisi kama mtaanzisha urafiki kwa kuambizana kila kitu kinacho wahusuKuoa bila kuonja ningumu kumeza aiseee wengine ckuyandoa ukipigamashine unakuta ilishatoka kitamboo tyuu alafu maji mengiii