kuna mwanamke wa hivi?

kuna mwanamke wa hivi?

Nailyne

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2010
Posts
350
Reaction score
113
najiuliza kuna mwanamke ambaye katika maisha yake ya mahusiano kuanzia galfriend n boyfriend, hadi husband and wife hajawahi kutendwa? (cheated)
 
najiuliza kuna mwanamke ambaye katika maisha yake ya mahusiano kuanzia galfriend n boyfriend, hadi husband and wife hajawahi kutendwa? (cheated)

Sijui na sioni umuhimu wa jibu la swali hilo.
 
Eehhh?
Nilifikiri unauliza kuna mwanamke anaekufa bikira..
 
Amini wapo wanaume wasiocheat!Mimi mpaka sasa hivi kucheatiwa nasikia kwa jirani tu!
 
nilifikiri unaulizia mwanamke ambaye hana kitumbua
 
Amini wapo wanaume wasiocheat!Mimi mpaka sasa hivi kucheatiwa nasikia kwa jirani tu!

hongera sana nadhani umepata mwanaume wakipekee majibu si unayaona lakini?
 
Wataalamu wanasema we learn thru mistakes....
Kama hujawahi onja machungu,utathamini vipi matamu utakapo yapata..
 
Wataalamu wanasema we learn thru mistakes....
Kama hujawahi onja machungu,utathamini vipi matamu utakapo yapata..

najaribu kukuelewa mkuu, kwa hiyo hayo machungu yanayopata wanawake by being cheated yanawafanya wathamini wanaume zaidi ama??
 
najaribu kukuelewa mkuu, kwa hiyo hayo machungu yanayopata wanawake by being cheated yanawafanya wathamini wanaume zaidi ama??

nailyene...
Ukipata mwanaume mzuri utajuaje kuwa ni mzuri??????

Lakini ukipata mwanaume mbovu,halafu ukiachana nae ukaja kumpata mzuri...
Utamthamini....
Sababu unajua tofauti.....

Idadi kubwa ya wanawake huwa wanakuja kugundua

kuwa mwanaume fulani alikuwa mzuri anaewafaa...when its too late
especially anapokuwa amempata mwanaume mbovu....
 
Amini wapo wanaume wasiocheat!Mimi mpaka sasa hivi kucheatiwa nasikia kwa jirani tu!
Ndo maana kukaitwa ku cheat ama kudanganywa. Huwa ni ngumu kujua. Ni afadhali ukaamini ushawahi kuliko kuamini bado siku ikitokea utakufa kwa BP.
 
Amini wapo wanaume wasiocheat!Mimi mpaka sasa hivi kucheatiwa nasikia kwa jirani tu!

Wahenga walisema "hakuna marefu yasiyo na ncha"

Lady JD akaimba USIUSEMEE MOYO WA MWENZAKO
 
Mimi ukiniambia kuna ambao hawakawahi kucheat (mwanamke au mwanaume) naona kama unaniambia kuna wasio na dhambi.

Ukisema kuna ambao hawajawahi kutoka nje ya ndoa nitakubali 100%
Mi nashangaa sana ninapoona mwanamke au mwanaume anaposema mpenzi wake hajawahi kucheat
 
Ndo maana kukaitwa ku cheat ama kudanganywa. Huwa ni ngumu kujua. Ni afadhali ukaamini ushawahi kuliko kuamini bado siku ikitokea utakufa kwa BP.
Hata uongo hua unagundulika!
 
Wapo wengi, mimi nina wife wangu ndiye nilikuwa boyfriend wake wa kwanza. Na nilimkuta akiwa bikira na sasa tuna mtoto mmoja. Nilimkuta akiwa na hali hiyo akiwa na age ya 26yrs. Sasa ni very rare kukuta mwanamke bikira.
 
Wahenga walisema "hakuna marefu yasiyo na ncha"

Lady JD akaimba USIUSEMEE MOYO WA MWENZAKO
Sasa unataka nikubali kwa lazima?!Si kila mtu amezaliwa kudanganya au kudanganywa!
 
Back
Top Bottom