najiuliza kuna mwanamke ambaye katika maisha yake ya mahusiano kuanzia galfriend n boyfriend, hadi husband and wife hajawahi kutendwa? (cheated)
Wataalamu wanasema we learn thru mistakes....
Kama hujawahi onja machungu,utathamini vipi matamu utakapo yapata..
najaribu kukuelewa mkuu, kwa hiyo hayo machungu yanayopata wanawake by being cheated yanawafanya wathamini wanaume zaidi ama??
Ndo maana kukaitwa ku cheat ama kudanganywa. Huwa ni ngumu kujua. Ni afadhali ukaamini ushawahi kuliko kuamini bado siku ikitokea utakufa kwa BP.Amini wapo wanaume wasiocheat!Mimi mpaka sasa hivi kucheatiwa nasikia kwa jirani tu!
Amini wapo wanaume wasiocheat!Mimi mpaka sasa hivi kucheatiwa nasikia kwa jirani tu!
Hata uongo hua unagundulika!Ndo maana kukaitwa ku cheat ama kudanganywa. Huwa ni ngumu kujua. Ni afadhali ukaamini ushawahi kuliko kuamini bado siku ikitokea utakufa kwa BP.
Sasa unataka nikubali kwa lazima?!Si kila mtu amezaliwa kudanganya au kudanganywa!Wahenga walisema "hakuna marefu yasiyo na ncha"
Lady JD akaimba USIUSEMEE MOYO WA MWENZAKO