Kuna mwanamke ananipenda lakini mapenzi hataki kunipa

Kuna mwanamke ananipenda lakini mapenzi hataki kunipa

Huwa nashindwa kuelewa, sasa hapo unataka tukusaidiaje? tukutongezee? Au?? Mwanaume umeshindwa kumvua chupi unakuja kulia lia hapa kwa JF? Man Up bwana, acha kudhalilisha jinsia ya kiume.
Anyways, HUPENDWI hapo, so kama vipi tumia mkwanja mrefu, atavua tu pichu.
 
Bora usepe kuliko kuumizwa na mapenzi yssiyo na maana.huyo hakupendi anakutesa 2
 
.hivi kupewa K ndio kipimo stahiki cha kupendwa? Sio lazima kufanya ngono ndugu, jaribu kufahamu msimsmo wake then utajua Kama unaweza kusubiri au la. Hata Kama sio bikra, inawezekana aliamua kuacha uasherati na kusubiri mwenza toka kwa Mungu...

Napenda wadada wenye msimamo..wanaume wasiwachezee ovyo in the name of marriage!!

Mtumishi unajua kunikuna mie na mi pointi yako...!
 
Kuna wangu alinitesa km wako mkuu nkamtaiti cku moja hadi kikaeleweka alikua na vuzi la kufa mtu, baadae nkamuuliza alikua anaogopa nn akaniambia alkua anaona aibu nikiona nyoya zake ntamcheka eti tangu aanze kuota nyoya hakuwahi kutoka na mwanaume akifikiri watamcheka, hapo mbavu sina, aiseeee.
Nkamtaftia cku nkaenda kumnyoa vuzi.
Tulikuja achana lkn huwa nikimwona namtania hazijaota nije kumnyoa bass mbavu hana, hahaaaaa.
 
Huwa nashindwa kuelewa, sasa hapo unataka tukusaidiaje? tukutongezee? Au?? Mwanaume umeshindwa kumvua chupi unakuja kulia lia hapa kwa JF? Man Up bwana, acha kudhalilisha jinsia ya kiume.
Anyways, HUPENDWI hapo, so kama vipi tumia mkwanja mrefu, atavua tu pichu.

!
!
kibaya zaidi ukute kuna watu wanamfanya matusi huyo demu ndani ya dakika kadhaa tu kudadadeki
 
Wanaume bana.
Mkipata wadada wenye msimamo,wenyekuheshimu utu wao mnaona kama hawawapendi.At the same time mnalalamikia wadada wasio na msimamo ambao wako rahisi kufanya ngono.
Sio kweli kua mdada asiyetaka kufanya ngono na mtu
 
Hampendi bali muwaelewe kua wanajiheshimu. Na nyie pia muwaheshimu.
 
Back
Top Bottom