Kuna mwana JF anatumia ugoro?

 
Mimi siyo huyo Umdhaniaye Ndugu bali Mimi ni Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person MINOCYCLINE Ndugu sawa?
Sawa.

Pamoja na hayo, lakini pia wewe ni PURELY TALENTED, kwa mujibu wa maoni yangu mkuu!
Au ni kosa ukiwa GIFTED INTELLECTUALLY, KNOWLEDGEABLE, CHALLENGER AND WELL INFORMED PERSON halafu pia ukawa PURELY TALENTED?

Au umenielewa vibaya mkuu?
 
Sawa.

Pamoja na hayo, lakini pia wewe ni PURELY TALENTED, kwa mujibu wa maoni yangu mkuu!
Au ni kosa ukiwa GIFTED INTELLECTUALLY, KNOWLEDGEABLE, CHALLENGER AND WELL INFORMED PERSON halafu pia ukawa PURELY TALENTED?

Au umenielewa vibaya mkuu?
Ahahaha mlikuwa mnabishana nni na popoma mwandamizi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kimombo unaitwaje?

Kule Kanda ya ziwa hasa mkoani Tabora wamama wajane na wasio na wenza hutia ugoro ukeni kuzima ashki.
 
Kwa kimombo unaitwaje?

Kule Kanda ya ziwa hasa mkoani Tabora wamama wajane na wasio na wenza hutia ugoro ukeni kuzima ashki.
Vip na wababa wagane na wasio na wenza?
 
hv kuna tofauti gani kati ya kuberi na ugolo wadau?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…