Kuna muda ili ufanikiwe kwenye maisha ni lazima uwe kama gaidi kwa ndugu zako

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,146
11,192
Gaidi nnaemuongelea mimi sio mlipuaji mabomu au muuwaji bali ni mtu mwenye roho ngumu pale ambapo anahitaji kufanya mambo yake ili afanikiwe.

Mada hii inagusa hasa Graduates ambao ndio wanaanza maisha baada ya kupata ajira au kijana yoyote anaeanza maisha ya kuingiza kipato ni lazima uwe na roho ngumu kweli kweli hasa kwa ndugu wanaopenda kuwa tegemezi kwa mtu anayeanza kufanya kazi.

Ukiendekeza ndugu utakuja kujikuta hujapiga maendeleo yoyote hata kiwanja hujanunua, alafu ukija kupoteza kazi huenda hao hao ndugu ndio watakao anza kukucheka kuwa umepoteza kazi na haukuwahi kufanya maendeleo yoyote, saidia ndugu kwa kiasi tu na sio kutoa akiba yote, hautopiga hatua yoyote.

Sio kila tatizo likitokea nyumbani we ndio wa kwanza kutoa hela, mda mwingine jifanye una hali ngumu kwani haukuzaliwa peke yako kusaidia ukoo mzima.

Pale unapopata kazi ndio mda wa kuwa kama gaidi kweli kweli ili ufanye maendeleo yako haraka kabla hujaowa, Yani hao ndugu inabidi uweke kizibo masikioni kwa muda.

kwasababu ukija kuwa na mke na watoto kama haukufanya maendeleo mapema kipindi ambacho upo single, utakuja kujutia na endapo utakuja kuowa mwanamke asiyejishuhulisha au anaefanya kazi lakini ni mbinafsi ndio utajuta kwa nini haukujenga mapema na hao ndugu uliokuwa unawasaidia ndio watakuwa wa kwanza kukucheka.
 
Extended family, ikiwa haina waliofanikiwa na wewe ndiye ukachomoza kimafanikio!! Ukiiendekeza inakurudisha chini vibaya mno then hao hao ndugu masikini wanakucheka kwa kuungana nao tena!!

Ndiyo maana waliofanikiwa wanaonekana wana roho mbaya sana, lakini wakishafanikiwa vyema huchukua ndugu na kuwasomesha ili kuwainua kiuchumi!!
 
Gaidi nnaemuongelea mimi sio mlipuaji mabomu au muuwaji bali ni mtu mwenye roho ngumu pale ambapo anahitaji kufanya mambo yake ili afanikiwe

Mada hii inagusa hasa Graduates ambao ndio wanaanza maisha baada ya kupata ajira au kijana yoyote anaeanza maisha ya kuingiza kipato ni lazima uwe na roho ngumu kweli kweli hasa kwa ndugu wanaopenda kuwa tegemezi kwa mtu anayeanza kufanya kazi.

Ukiendekeza ndugu utakuja kujikuta hujapiga maendeleo yoyote hata kiwanja hujanunua, alafu ukija kupoteza kazi huenda ndio hao hao ndugu watakao anza kukucheka kuwa umepoteza kazi na haukuwahi kufanya maendeleo yoyote, saidia ndugu kwa kiasi tu na sio kutoa akiba yote, hautopiga hatua yoyote.

Sio kila tatizo likitokea nyumbani we ndio wa kwanza kutoa hela, mda mwingine jifanye una hali ngumu kwani haukuzaliwa peke yako kusaidia ukoo mzima.
Kila mtu ana mahitaji yake na nilaxima kufanya juhudi kwaajili yako mwenyewe na kizazi chako mpaka kitakapojitambua,wajibu unao kwa wazazi tu kama hawakujipanga vizuri,achana na matakataka mengine,utakufa mapema na masikini wao wakijipanga kimya kimya,baadae wewe utaonekana zuzu.
 
Mkuu umeandika kitu cha maana sana binafsi ninasaidia pale ninapoweza first plani zangu zikamilike kwanza
 
Extended family, ikiwa haina waliofanikiwa na wewe ndiye ukachomoza kimafanikio!! Ukiiendekeza inakurudisha chini vibaya mno then hao hao ndugu masikini wanakucheka kwa kuungana nao tena!!

Ndiyo maana waliofanikiwa wanaonekana wana roho mbaya sana, lakini wakishafanikiwa vyema huchukua ndugu na kuwasomesha ili kuwainua kiuchumi!!
usipopenda kuonekana una roho mbaya,sahau kuhusu maendeleo,achananao songa,kila mtu alizaliwa na zali na balaa zake,KWISHA.
 
Ndugu huwa wanazinguwa sana ndio maana nyumba yangu nimejenga vyumba vitatu tuu.
Master, na single room mbili ili akija Mgeni wa kike alale chumba cha watoti wa kike na wakiume vivyo hivyo rum ya watoto wakiume.
Akai sana atasepa.

Nawapenda sana ndugu but kwenye maendeleo huwa nawapotezea sana.
Michango kila kukicha ya shughuli tupa Kule, kila MTU Apambane na hali yake
 
Ndo hatua niliyopo Mimi.Nilikuwa saidia saidia sn,ohooo nikabaki kama nilivo.This time sitaki kusikia ombi la ndugu,hata baba na mama nao nawasaidia kimahesabu as long as najua kuwa wanajiweza.
 
Ndugu huwa wanazinguwa sana ndio maana nyumba yangu nimejenga vyumba vitatu tuu.
Master, na single room mbili ili akija Mgeni wa kike alale chumba cha watoti wa kike na wakiume vivyo hivyo rum ya watoto wakiume.
Akai sana atasepa.

Nawapenda sana ndugu but kwenye maendeleo huwa nawapotezea sana.
Michango kila kukicha ya shughuli tupa Kule, kila MTU Apambane na hali yake
Mkuu acha kuchanganya Ndugu wa Kiume na watoto wako Haswa swala la kulala nao hata kama una ukaribu nae vipi labda awe babako binafsi ata brother au mdogo wangu wa kiume simlazi na mwanangu wa kiume wa umri mdogo Mimi Mgeni wa kiume hata nyumba iwe na nafasi nampeleka Guest nalipa hela alale huku anaona Siku mbili nyingi atarudi alipotoka.
 
Gaidi nnaemuongelea mimi sio mlipuaji mabomu au muuwaji bali ni mtu mwenye roho ngumu pale ambapo anahitaji kufanya mambo yake ili afanikiwe.

Mada hii inagusa hasa Graduates ambao ndio wanaanza maisha baada ya kupata ajira au kijana yoyote anaeanza maisha ya kuingiza kipato ni lazima uwe na roho ngumu kweli kweli hasa kwa ndugu wanaopenda kuwa tegemezi kwa mtu anayeanza kufanya kazi.

Ukiendekeza ndugu utakuja kujikuta hujapiga maendeleo yoyote hata kiwanja hujanunua, alafu ukija kupoteza kazi huenda hao hao ndugu ndio watakao anza kukucheka kuwa umepoteza kazi na haukuwahi kufanya maendeleo yoyote, saidia ndugu kwa kiasi tu na sio kutoa akiba yote, hautopiga hatua yoyote.

Sio kila tatizo likitokea nyumbani we ndio wa kwanza kutoa hela, mda mwingine jifanye una hali ngumu kwani haukuzaliwa peke yako kusaidia ukoo mzima.

Pale unapopata kazi ndio mda wa kuwa kama gaidi kweli kweli ili ufanye maendeleo yako haraka kabla hujaowa, Yani hao ndugu inabidi uweke kizibo masikioni kwa muda.

kwasababu ukija kuwa na mke na watoto kama haukufanya maendeleo mapema kipindi ambacho upo single, utakuja kujutia na endapo utakuja kuowa mwanamke asiyejishuhulisha au anaefanya kazi lakini ni mbinafsi ndio utajuta kwa nini haukujenga mapema na hao ndugu uliokuwa unawasaidia ndio watakuwa wa kwanza kukucheka.
Naunga mkono hoja mie nimuathirika wa hilo
 
Back
Top Bottom