Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,870
hahahhah kwahiyo unataka huu uzi uwepo tu kama meeting place yetu hii kali sakayo nilikwambia hii makapuku forum ya piliAsifunge mana nita wapoteza
hahahhah kwahiyo unataka huu uzi uwepo tu kama meeting place yetu hii kali sakayo nilikwambia hii makapuku forum ya piliAsifunge mana nita wapoteza
mabox mm sitaki acha mautamu yanikose tuSijui unahisi ni mabox ya nini?utakosa ma utam ujue
Au mtani wako ha haaaahalaf utakua ndg yng ujue
yy na mm mkoa mmojaAu mtani wako ha haaaa
Ha ha ila kwa shemeji naweza hata kumpakataWe usiwe hivyo, utakuja mtania hadi mkweo
Ha ha haaaSio mbeba pochi tena
Asante
Sikuhizi et sina mizuka ila nyie mmenikamatahahahhh chimbo lake haendi kokote yy hapa hapa
na umekamatika haswaSikuhizi et sina mizuka ila nyie mmenikamata
Yupi huyoNgoja mkewe ampe talaka ndo atajua
Nasubili jibukwan ana mke humu
Nipende kwa nguvu shem utafauduHahaaa
Umeandika vizuri mpaka nimekupenda!!!
Hehehe ya zamani ndo hii hii
Meno vipi ha ha haaa
Come on Shuni, mimi nakusubiria wewe uniambie nini nifanye, kama ni M-pesa, tigo au check niambie nifanye nini.anayo fakalava eb njo usikie hapa
Ni lile swali lako nimeliogopaMbona wajishtukia tena
hauna mke humuNasubili jibu
teh tehNipende kwa nguvu shem utafaudu
mpesa na tigo pesaCome on Shuni, mimi nakusubiria wewe uniambie nini nifanye, kama ni M-pesa, tigo au check niambie nifanye nini.
sakayo nakuhitaji hapa