Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
si kaenda mwenywe au na mkeLazima Warudi na kijachoo
si kaenda mwenywe au na mkeLazima Warudi na kijachoo
Asepe in peace, mtu gani hawezi kusema baby!! Eti mpendwa mko kwa Ngwajima hapanaona kasepa bora
hahahhahah nimemmiss baby wangu mzee wa redbull hela nichukue kwa mshenga teh tehAsepe in peace, mtu gani hawezi kusema baby!! Eti mpendwa mko kwa Ngwajima hapa
Husna hebu nipe mrejesho, mliishia wapiMwambie kula koni labda ndio atakuelewa
Hehehekama ninachopenda mm![]()
Basi mie simjui, si hujanitambulisha. Ndo maana nakupigia debe hapasio babu bwana yule yupi
hahhahahhBasi mie simjui, si hujanitambulisha. Ndo maana nakupigia debe hapa
Ataendaje mwenyewe nae, ndo maana alijibashitesi kaenda mwenywe au na mke
Andika ka Daby
Halafu katoe huo mgari hapo, Shunie hapendi magari
nikiona mahali daby ametajwa najisikia raaaahaaaaaaaaaa.....!Mmmhhahahhahah nimemmiss baby wangu mzee wa redbull hela nichukue kwa mshenga teh teh
Toa ID yake tukusaidie...
Ila kama ni mimi niambie tu hata hapa hapa
"MAPENZI MUBASHARA"

hahhahah yule ni wa kule kule hatembeagiMmmh
Huku haji labda umfuate mule mule
wenye baby zao sakayo unaona ila sakayo umenichekesha atoe gari mm sipendi hahhahah![]()
![]()
![]()
nikiona mahali daby ametajwa najisikia raaaahaaaaaaaaaa.....!
Safihahhahah yule ni wa kule kule hatembeagi
Asepe in peace, mtu gani hawezi kusema baby!! Eti mpendwa mko kwa Ngwajima hapa

Hehehe, watu na baby zao!!wenye baby zao sakayo unaona ila sakayo umenichekesha atoe gari mm sipendi hahhahah
hahahhahah machale yakicheza unaenda chunguliaSafi
Sio rahisi kuchepuka

hahahahhah halaf sio lazima gari ujue kuna avatar nyingine zina ushawishi ila chizi wwHehehe, watu na baby zao!!
Sasa wenzake wametinga suti yeye kaweka mgari wake pale