Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,194
Ningekujibu kwa ile lugha sema nimegundua haujuiHuo tunasemaga ni mtongozo wa kiutu uzima
Ningekujibu kwa ile lugha sema nimegundua haujuiHuo tunasemaga ni mtongozo wa kiutu uzima
Kweli mkuu, ila ni Mara tu baada yakuingia shimoni na kujiridhisha kuwa Kuna siafu ndo huwa Nyoka anatoka nduki... KWANZA HUWA ANAINGIA.Kamwe Nyoka haingii shimo lenye Siafu......sometimes Nyoka ana akili kuliko Mwanadamu (ME)!
Mie nina mke na watoto 6Huyo anajipendekeza
hahahhh nahisi sura yoyote utakayokua nayo ameridhika nayo akutane na mbaya kama masoud sawa akutane na nzuri sawaEbu mwambie sura yangu mbaya maana unanijua
yy kakupenda tu
anataka kutupotezaHuyo anajipendekeza
anakupenda hivyo hivyoMie nina mke na watoto 6

Sina pesahahahhh nahisi sura yoyote utakayokua nayo ameridhika nayo akutane na mbaya kama masoud sawa akutane na nzuri sawayy kakupenda tu
Hiyo sio sababu ya kukufanya usipendwe, ndo ushadondokewaMie nina mke na watoto 6
yeye hataki chochote yeye anakupenda ww tuSina pesa
Sura mbovu
Mie kapuku

Kama kuna pacha wako je, mie nahisi ni wewe.Shunie kanitaja...angalia kuna kajina kakutajia huko nyuma...
Shunie majina ya nyongeza siyataki naitwa Daby
Fanyeni mnidondokee basi mmoja wenu maana naona mnanitakia mazuriHiyo sio sababu ya kukufanya usipendwe, ndo ushadondokewa

yeye hataki chochote yeye anakupenda ww tu![]()
Hapana, ushawahiwa na binti Husna mtoto mrembo!!Fanyeni mnidondokee basi mmoja wenu maana naona mnanitakia mazuri![]()
hahahhh sakayo ujue kashaingia pm anatuzingua tuKama kuna pacha wako je, mie nahisi ni wewe.
Huo mwandiko unavutia eti!!
acha tumuachie husna hii nafasiFanyeni mnidondokee basi mmoja wenu maana naona mnanitakia mazuri![]()

acha tumuachie husna hii nafasi![]()


Hapana, ushawahiwa na binti Husna mtoto mrembo!!
Acha kupoteza lengo
Hahahahahah .........Ningekujibu kwa ile lugha sema nimegundua haujui
Umependwa ulivyoSina pesa
Sura mbovu
Mie kapuku