Curtiz
JF-Expert Member
- Oct 1, 2021
- 682
- 1,375
Mimi jana tu nimepita kuchukua changu pale. Nadhani mizigo midogo huwa haina komplikesheni sijajua mingine. Last year niliagizaga mzigo sijawahi upata mbaka leo. Hata taarifa pia kama zimeyeyuka. Lakini nahisi seller hakuwa mwaminifu maana nimeanza kuagiza vitu aliexpress tangu 2019 na huwa napata bila shida yoyote