toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,583
- 4,615
Habarini wajameni, kuna mtu humu ashawahi kununua bidhaa aliexpress halafu zikatumwa kupitia speedaf?
Mbona naona kama wanazingua? Maana nimeagiza mzigo wamekaa nao sipigiwi simu wala nini ukiwatafuta wanasema wanafanya free delivery sasa mimi nikawaomba nikachukue mwenyewe ofisini eti wanadai hairuhusiwi eti hadi wakuletee mwenyewe
Mimi siwaelewi hawa watu kabisa bora posta.
Mbona naona kama wanazingua? Maana nimeagiza mzigo wamekaa nao sipigiwi simu wala nini ukiwatafuta wanasema wanafanya free delivery sasa mimi nikawaomba nikachukue mwenyewe ofisini eti wanadai hairuhusiwi eti hadi wakuletee mwenyewe
Mimi siwaelewi hawa watu kabisa bora posta.