Vipi gharama zao?Wangu nilipata ndani ya siku 15 net
Nilikabidhiwa mzigo wangu bure sikulipia chochoteVipi gharama zao?
Unatumia utaratibu gani?Nilikabidhiwa mzigo wangu bure sikulipia chochote
Nimeona mzigo wangu upo ofisini kwao na mtu wa kudelivery kaonyeshwa pale na number yake ya simu ipo ..kesho itabidi niibuke maana kudelivery wanaweza chelewesha....
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Vp ulienda?Swali Kwa wadau...maana posta mzigo ulikuwa ukizidi Dollar 50 ,TRA pale posta wanakomaa ulipe ushuru .Je speedaf Mambo yakoje ? Kama Ile 5,900 ya posta haipo Tena it's good news ..
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nilipokea ofisini kwao mikocheni pale
Wewe nenda kachukue mzigo wako ukisema usubiri wakuletee watakuchelewesha
Uki track mzigo wako na kuona umefika bongo na kuwa delivered ndo unaenda ofisini kwao unawaonesha tracking number wanakupa mzigo wakoUnatumia utaratibu gani?
Nimeona mkuu,inabidi tukae ki ninja tusije kupigwaSPEEDAF Carrier na uhuni wenu wa kitoto mnaotufanyia
Hello habari wadau wa jukwaa la teknolojia na wanajamiiforum kwa ujumla. Kutoka na kasi ya maendeleo ya kisayansi na kiteknolojia si ajabu tena kwa mtu kufanya manunuzi mitandaoni . Vivyo hivo hata Tanzania kwa sasa idadi ya watu wanaofanya manunuzi hayo imeongezeka maradufu, hasa masoko ya...www.jamiiforums.com
Vp mkuu ulipata?Nimeona mzigo wangu upo ofisini kwao na mtu wa kudelivery kaonyeshwa pale na number yake ya simu ipo ..kesho itabidi niibuke maana kudelivery wanaweza chelewesha....
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ndio nimepata mizigo yangu yote Leo..Vp mkuu ulipata?
Umepata mzigo ndani ya siku nane kutoka China hadi ulipoutia mkononi au siku nane baada ya kutua bongoNdio nimepata mizigo yangu yote Leo..
Wakuu tuwape muda speedaf Naona ndio kwanza wameanza kuoperate inaonekana wanachangamoto kadhaa wanatakiwa kusolve.....ITS BETTER SPEEDAF KULIKO POSTA.
1.Mzigo nimepata ndani ya siku 8 lakini ingekuwa posta ni siku 35 Hadi 60
2.pia hakuna gharama zozote zile maana posta Kuna Ile fee ya post 5,900 na pia Kuna lungu la TRA kama mzigo umezidi dollar 50
3.Jamaa Wana delivery free Kwa mteja .
Kama una haraka Sana ndio unaweza kwenda kuchukua ofisini kwao baada ya kupata track info Kwamba mzigo umeshafika ofisini kwao
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mimi mwenyew niliufata jana pale mikocheni 162 au ndo wewe tulikua paleNdio nimepata mizigo yangu yote Leo..
Wakuu tuwape muda speedaf Naona ndio kwanza wameanza kuoperate inaonekana wanachangamoto kadhaa wanatakiwa kusolve.....ITS BETTER SPEEDAF KULIKO POSTA.
1.Mzigo nimepata ndani ya siku 8 lakini ingekuwa posta ni siku 35 Hadi 60
2.pia hakuna gharama zozote zile maana posta Kuna Ile fee ya post 5,900 na pia Kuna lungu la TRA kama mzigo umezidi dollar 50
3.Jamaa Wana delivery free Kwa mteja .
Kama una haraka Sana ndio unaweza kwenda kuchukua ofisini kwao baada ya kupata track info Kwamba mzigo umeshafika ofisini kwao
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Nisaidie mawasiliano yao kama hutojali. Kuna mzigo nataka kuagiza, nami nilizoea posta zaidi.Ndio nimepata mizigo yangu yote Leo..
Wakuu tuwape muda speedaf Naona ndio kwanza wameanza kuoperate inaonekana wanachangamoto kadhaa wanatakiwa kusolve.....ITS BETTER SPEEDAF KULIKO POSTA.
1.Mzigo nimepata ndani ya siku 8 lakini ingekuwa posta ni siku 35 Hadi 60
2.pia hakuna gharama zozote zile maana posta Kuna Ile fee ya post 5,900 na pia Kuna lungu la TRA kama mzigo umezidi dollar 50
3.Jamaa Wana delivery free Kwa mteja .
Kama una haraka Sana ndio unaweza kwenda kuchukua ofisini kwao baada ya kupata track info Kwamba mzigo umeshafika ofisini kwao
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu Sina number zao ..ila location ya ofisi iko migombani street ..utafika huo mtaa utaona nyumba pembeni ya geti Kuna rangi nyeupe imeandikwa number 165...au Kwa njia rahisi ukishuka pale kituo Cha zantel msasani Kuna njia inayoshuka kuja kairuki hospital..ukienda na hiyo njia sio mbali ni mkono wa kulia utaona...Nisaidie mawasiliano yao kama hutojali. Kuna mzigo nataka kuagiza, nami nilizoea posta zaidi.
Huenda nikapendezwa nao kihuduma
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeeleza vizuri sana mkuu. BarikiwaMkuu Sina number zao ..ila location ya ofisi iko migombani street ..utafika huo mtaa utaona nyumba pembeni ya geti Kuna rangi nyeupe imeandikwa number 165...au Kwa njia rahisi ukishuka pale kituo Cha zantel msasani Kuna njia inayoshuka kuja kairuki hospital..ukienda na hiyo njia sio mbali ni mkono wa kulia utaona...
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app