Chuku chuku
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 873
- 1,369
Dah pole sana mkuu, ila next time jifunze kufanya biashara ambayo ipo karibu nawe hata kufungua kibanda cha chipsi poa, hiyo biashara inahitaji wajuzi na wabobezi!
Kama ulijua ni tapeli kwann ulimpaMkuu haikuwa dhamira yangu kukopesha ila huyu nitapeli tu
Chikolombe kwani Chikumbalanga ni nduguyo??
Good to know upo very good, and YES, nipo hapa Utende nasubiri 28th nije Dar kuchinja watu!!!Very good
Upoo?
Good to know upo very good, and YES, nipo hapa Utende nasubiri 28th nije Dar kuchinja watu!!!


waitin for u brah