Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

Huyu mtu anafanya biashara na watu ambao nawafahamu nakuna mmoja alitoka huko ndo akaniambia nenda ila nilikuwa nasafarisha songea
Kama umewaamini hao ndugu zako kwa kuwa wanafanya nao biashara kwa nini usiwaite uwaelezee kilichotokea ili wakusaidie kukuchukulia pesa yako kwa huyo bwana unayemuita tapeli mara unasema unamwamini kwa vile alifanya biashara na ndugu zako
 
Ungenisoma mstari kwa mstari ungegundua tayari swali lako lina jibu kwenye maelezo yangu!!!
Nafikiri angekuwa anapokea simu na kutoa ushirikiano wa mwenendo mzima wa huo mzigo wala huu uzi usingekuwepo hapa.

Maoni yako nimeyapitia vizuri tu na kuyaelewa. Ni mazuri sana. Itoshe kusema huyo dalali/ mchuuzi si muungwana.
 
Inamaana ujasoma idadi ya walioharibika.
 
Duh biashara za mazoea hizi! Unafanya biashara ya laki tisa unapata faida ya tshs 250 tu halafu ni graduate unafanya biashara ya bila mkataba na mtu kienyeji tu hivi.Mungu akusaidie!
 
Pole sana. Pesa utaipata kwa mafungu na itachukua muda.
 
Ushadi wa vibali na ushulu kwa sasa sina nimetafuta sana risti ya malipo ya mzigo ya serikali sijaiona pia niliamini biashara nimisha maliza hivyo kibali cha kusafirishia mzigo kilisha pita muda wake labda shaidi kipindi namuuzia alikuwepo
Sasa wewe,nakuonea huruma sana.
Mtafute huyo bwege,muulize pia mama walimalizana vp then ulipe visasi viwili,otherwise alipe deni lako na riba then dai pia za mama.
Akizingua mvizie siku mbanike km samaki,utaalam unao
 
Duh biashara za mazoea hizi! Unafanya biashara ya laki tisa unapata faida ya tshs 250 tu halafu ni graduate unafanya biashara ya bila mkataba na mtu kienyeji tu hivi.Mungu akusaidie!
Utapeli hata ukiwa na phd unaweza tapeliwa kutokana na mazingira husika
 
Ushadi wa vibali na ushulu kwa sasa sina nimetafuta sana risti ya malipo ya mzigo ya serikali sijaiona pia niliamini biashara nimisha maliza hivyo kibali cha kusafirishia mzigo kilisha pita muda wake labda shaidi kipindi namuuzia alikuwepo
Pole sana aisee....pole sana.chuo gani ulichosoma?,bora hata ungemshirikisha bi mkubwa angekupa uzoefu. Huu uandishi sio wa mtu aliyemaliza chuo.hapo hiyo hasara tayari,la msingi umejifunza kitu,hutarudia tena makosa,usikate tamaaa,endelea kupambana.
 
Una invest vipi savings yote kwenye biashara changa? Hapo ndo ilipozongua. Kwa hiyo 900,000/= Kuna biashara nyingi ungeweza kufanya ya kukuingizia hadi nusu ya mtaji. Pole sana
 
mtafutie polisi laki mbili jokoe laki Tisa ikishindikana mtafute shehe italudi mkuu
 
Mdogo wangu biashara haiendi hivyo..wachache sana wanafanya hivyo na kufanikiwa..ulitakiwa uanze hata na samaki wa laki 2,then ukiona clients wako wanaeleweka ndo unaongeza mzigo kidogo dogo..hata mtu akila lak 2 yako..bado unakua na nguvu hakufanya biashara regardless ya hasara uliopata..huyo mpeleke polisi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…