Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

Kuna mtu anataka kunitapeli naomba msaada

Mimi ni kijana niliye maliza masomo yangu mwaka huu, kipindi nikiwa chuo nilikuwa najiwekea akiba kutoka kwenye boom langu ili nikimaliza basi niwe na mtaji ili nianze kufanya biashara, nimefanikisha kuwa namtaji .TZS.1000000/= tarehe 2.9.2020 nilienda wilaya ya simanjiro (manyara)kijiji cha kimotoroki kufata samaki aina ya kambale nili nunua samaki 2000 walio gharimu Tzs. 900000 hapo kuanzia manunuzi hadi kuwabanika kwa moto, niliwasafirisha hadi dodoma kwenye soko la chang'ombe ambapo niliwasiliana na boss ambaye alisema anachukua mzigo wote ananipa pesa yangu siku hiyo hiyo. Tulifungua samaki akahesabu akapata samaki 1385 kati ya samaki 2000 kutokna na usafiri hao wengine walivunjika hivyo hawakuhesabiwa hiyo ilikuwa tarehe 18/9/2020 , kwa samaki 1835 ilitakiwa anipe TZS. 900250 ila aliomba pesa yangu atanitumia baada ya siku tatu,basi kiungwana nikakubali mimi nikaondoka nikijua pesa ata nitumia hadi sasa hajanitumia pesa na nikimtafuta simu hapokei Wala sms hajibu, Leo nimemtafuta kapokea kaniambia niende dodoma nikafate samaki wangu ,baada ya kumsumbua sana kuhusu pesa yangu, naomba msaada wenu wa mawazo mimi ni mtoto wamvuvi tena mvuvi wa hali ya chini na mama anafanya uchuuzi wa samaki ila mala nyingi matapeli kama hawa wanatufanyia hivi tukipeleka mizigo sokoni
Sinatabia yaku commet kwenye nyuzi mbalimbali hua nasoka na napita zangu ila hii imeni gusa sna. Inaonekan Elimu ya mtaani huna kabisa ndugu kama kuna possibility yoyote pambana upate haki yako, Ila kwa leo ishi na hii

"If you expect the world to be fair with you because your fair you're fooling yourself. That like expecting the lion not to eat you because you don't eat lion"
 
Ukitaka kumtia nguvuni je una ushahidi?

Ushadi wa vibali na ushulu kwa sasa sina nimetafuta sana risti ya malipo ya mzigo ya serikali sijaiona pia niliamini biashara nimisha maliza hivyo kibali cha kusafirishia mzigo kilisha pita muda wake labda shaidi kipindi namuuzia alikuwepo
 
Pole sana ndiyo umeshapigwa mtaji wote.

Mimi ni kijana niliye maliza masomo yangu mwaka huu, kipindi nikiwa chuo nilikuwa najiwekea akiba kutoka kwenye boom langu ili nikimaliza basi niwe na mtaji ili nianze kufanya biashara, nimefanikisha kuwa namtaji .TZS.1000000/= tarehe 2.9.2020 nilienda wilaya ya simanjiro (manyara)kijiji cha kimotoroki kufata samaki aina ya kambale nili nunua samaki 2000 walio gharimu Tzs. 900000 hapo kuanzia manunuzi hadi kuwabanika kwa moto, niliwasafirisha hadi dodoma kwenye soko la chang'ombe ambapo niliwasiliana na boss ambaye alisema anachukua mzigo wote ananipa pesa yangu siku hiyo hiyo. Tulifungua samaki akahesabu akapata samaki 1385 kati ya samaki 2000 kutokna na usafiri hao wengine walivunjika hivyo hawakuhesabiwa hiyo ilikuwa tarehe 18/9/2020 , kwa samaki 1835 ilitakiwa anipe TZS. 900250 ila aliomba pesa yangu atanitumia baada ya siku tatu,basi kiungwana nikakubali mimi nikaondoka nikijua pesa ata nitumia hadi sasa hajanitumia pesa na nikimtafuta simu hapokei Wala sms hajibu, Leo nimemtafuta kapokea kaniambia niende dodoma nikafate samaki wangu ,baada ya kumsumbua sana kuhusu pesa yangu, naomba msaada wenu wa mawazo mimi ni mtoto wamvuvi tena mvuvi wa hali ya chini na mama anafanya uchuuzi wa samaki ila mala nyingi matapeli kama hawa wanatufanyia hivi tukipeleka mizigo sokoni
 
Ushadi wa vibali na ushulu kwa sasa sina nimetafuta sana risti ya malipo ya mzigo ya serikali sijaiona pia niliamini biashara nimisha maliza hivyo kibali cha kusafirishia mzigo kilisha pita muda wake labda shaidi kipindi namuuzia alikuwepo
Dah mzee ili usijepata msongo wa mawazo ukawaza jiua...chukulia Kama ajali kazini ulizohonga...kaa chini subiri vyeti utafute ajira...mzee biashara haikufai..umepigwa
 
Sinatabia yaku commet kwenye nyuzi mbalimbali hua nasoka na napita zangu ila hii imeni gusa sna. Inaonekan Elimu ya mtaani huna kabisa ndugu kama kuna possibility yoyote pambana upate haki yako, Ila kwa leo ishi na hii

"If you expect the world to be fair with you because your fair you're fooling yourself. That like expecting the lion not to eat you because you don't eat lion"

Taken thanks
 
Kwa mtazamo wewe ni mzembe kwenye uwekezaji kama ni kweli. Kwa maelezo yako yanatia wasiwasi kama ni kweli. Kama huyo mtu aliwahi fanya biashara na mama yako na hivyo wanafahamiana vizuri, na wew una vielelezo vya kutosha mwambie mama yako amwendee akamdai maana atamlipa ila kwako kukulipa wew kama wew halitakuwepo isipokuwa kama una nyaraka halali za biashara na nyaraka za kukopeshana zipo vizuri. Kama nyaraka huna muombe mama yako amwendee na amdai walau unaweza kuambulia hata nusu ya hizo hela.
 
Dah mzee ili usijepata msongo wa mawazo ukawaza jiua...chukulia Kama ajali kazini ulizohonga...kaa chini subiri vyeti utafute ajira...mzee biashara haikufai..umepigwa

No siwezi jinyonga kisa hiyo pesa no no big no pia kwa sasa sina ndoto ya kutafuta ajira maana ajira zenyewe ni changamoto kupata ndomana nilikuwa najidunduliza ili nijikwamue after studies
 
No siwezi jinyonga kisa hiyo pesa no no big no pia kwa sasa sina ndoto ya kutafuta ajira maana ajira zenyewe ni changamoto kupata ndomana nilikuwa najidunduliza ili nijikwamue after studies
Dah basi pole kamanda kikubwa uhai endelea mkazia mdeni..nnachoogopa kwakua huna ushahidi usijejikuta unatumia gharama zaidi...Best wishes mkuu....kikubwa mi nna neno hata Kama nmeumia je miaka mi5 mbele Bado maumivu yatakuepo??then nasonga mbele
 
Dah mzee ili usijepata msongo wa mawazo ukawaza jiua...chukulia Kama ajali kazini ulizohonga...kaa chini subiri vyeti utafute ajira...mzee biashara haikufai..umepigwa

Nimisha pitia magumu kuliko hilo mimi na family yangu ila bado tupo sawa kwa neema ya mwenyezi Mungu ndo mtetezi wa kweli hapa duniani
 
Ushadi wa vibali na ushulu kwa sasa sina nimetafuta sana risti ya malipo ya mzigo ya serikali sijaiona pia niliamini biashara nimisha maliza hivyo kibali cha kusafirishia mzigo kilisha pita muda wake labda shaidi kipindi namuuzia alikuwepo
Kama huna vibali na nyaraka za kuuziana inaonesha nako huna. Wewe utakuwa ni mzembe tu. Tunajifunza kutokana na uzembe ila kwa hili jiandae kisaikolojia maana asilimia kubwa ni kukosa. Jaribio la mwisho ni kwa mama yako. Likifeli huna pa kumpeleka maana huna nyaraka huo utakuwa ni uzembe wako. Kwa mtazamo tu naona ni hadithi ya kufikirika. Huwezi nunua mzigo kwa hela yote kwa mara ya kwanza kwa ubahili uliokuwa nao mpaka ukaweza kumake 1m. Hivyo hadithi yako ina mapungufu mengi na hivyo hujaweza kuitunga vizuri maana ina gap nyingi zisizounganika hata kidogo.
 
Unafuaje Samaki Dodoma Wakati Mmeshafanya Biashara
Hapo Dodoma Hilo Soko Linaitwa Mavunde
Labda Ningependa Kujua Ulimpa Mzigo Mkiwa Mnafahamiana Ama Ikoje Hii

Samaki unatoa polini sana kule watu wamejenga maturubai (vihem) kama wakimbizi eneo la kujenga hema unalipia kwa mwezi elfu 20 kwa wamasai , jua kali upepo wa vumbi muda wote watu wanalala kwenye vumbi kabisa kuni nne unauziwa elfu tatu leo mtu wa mjini unakula pesa ya mtu kizembe tu kisa una meza sokoni unalipia elfu 20 manispaa kwa mwezi daaah!!!!
 
Shahid alioshuhudia mkiuziana, what if akakuruka watu ni waoga kutoaga ushahidi mahakamani, je una plan B?

Plan b itakuja pale shahidi akikataa kutoa ushirikiano ila kwa sasa nafocus kupata pesa yangu kwa uhalisia uliopo
 
Kama unachosema ni kweli njoo Pm nkupe nauli uende kufata hela yako Dom, km unachosema siyo kweli usije kwasababu hutoipata hyo hela.

Plan B, uwe makini na biashara za kukopeshana zinachangamoto sana.

Plan C, ukiona anakuzingua sana, nenda kwa wazee wa huko kwenu kashtaki ikiwezekana mroge tu hakuna namna. Maana umetafuta pesa kwa jasho mtu akudhurumu..siyo sawa na hapa duniani acha kujifanya mwema kwa kila mtu na kujifanya fair, dunia haiko hvyooo na walimwengu ni fisi.
 
Kwa mtazamo wewe ni mzembe kwenye uwekezaji kama ni kweli. Kwa maelezo yako yanatia wasiwasi kama ni kweli. Kama huyo mtu aliwahi fanya biashara na mama yako na hivyo wanafahamiana vizuri, na wew una vielelezo vya kutosha mwambie mama yako amwendee akamdai maana atamlipa ila kwako kukulipa wew kama wew halitakuwepo isipokuwa kama una nyaraka halali za biashara na nyaraka za kukopeshana zipo vizuri. Kama nyaraka huna muombe mama yako amwendee na amdai walau unaweza kuambulia hata nusu ya hizo hela.

Biashara hizi za sokoni mala nyingi unaweza fanya biashara na mtu ambaye humjui kwa sura ila mizigo anapokea ana uza na pesa anakutumia pia unakuta kuna mmoja ndo anamfahamu huyo mtu ndo anaweza kukuunganisha na wewe ukatuma mzigo akaupokea na akukutumia pesa yako ila utapeli upo!!! Pia kuhusu hili haki yangu nitapata tu tena yote mimi ni mtu mzima sina hofu nimetoa humu ili nipate mawazo tofauti tofauti pia hata funzo kwa wengine kama vijana wezangu n.k
 
Back
Top Bottom