Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,691
Wachuuzi wa samaki ukimpelekea nzigo umeishaaaa
We chikolembe banah umekua na akili ya kuitunza pesa, ila kwenye uwekezaji umepoteza umakini, huwezi kumwamini mtu hujawahi fanya nae biashara, uliangalia urahisi wa kuuza pasipo kujali uaminifu wa mtu unaempatia mzigo
Mkuu Chikolombe
Umeshalala
Njoo Ujibu Huku Haraka, Unataka Uende Soko La Mavunde Ukachukue Samaki
Kwahiyo akikupa hiyo pesa chikolombe unapata faida 250, je kuna ushahidi gani kuwa mlifanya biashara na huyo bwana, na je mliandikishana deni? Una ushahidi gani wa kumshtaki huyo bwana
Hapo kwenye faida ndipo nimebaki hoi.
Pole, uliamini biashara ni rahisi!
Unaondoka unamuachia mzigo na pesa!
Wewe jasiri SANA, na ulimficha mamako juu ya soko, ukiamini, utapiga pesa ndefu, yeye mama hajui biashara.
Everyday is Saturday.............................. 😎
Pole sana mkuu, fanya kusahau huyo mtu, halafu kwa nini ukatumia hela /savings Karibu yote kuanzisha biashara? ..pole sana ila ndio kujifunza
Aliyekupeleka kwa huyo mnunuzi ndiye tapeli, wala siyo mnunuzi wako.Siku mficha kama unavyo dhani mkuu mama huko aliko mawasiliano shida hadi wa anze wao kukutafuta hivyo amenitafuta nikiwa nimisha uza
Asante ila kusahau hapana nitapambana hadi pesa yang nitapata
Chadema ni beberu limempa mbeguChadema wamekupa mimba changa kila muda unawawaza tu.
Ukitaka kumtia nguvuni je una ushahidi?Huyu mtu anafanya biashara na watu ambao nawafahamu nakuna mmoja alitoka huko ndo akaniambia nenda ila nilikuwa nasafarisha songea
Umenikumbusha machungu Jamanii, hawa watu wa sokoni sio kabisa. Watu wa sokoni wengi ni matapeli
Shahid alioshuhudia mkiuziana, what if akakuruka watu ni waoga kutoaga ushahidi mahakamani, je una plan B?Shaidi yupo
Nenda haraka ukachukue pesa na sio mzigo.Mkuu ha kusema anakopa pia hapo faida hakuna hata mia ila kwakuwa naanza biashara hasara nilikubali ila hii 900250 ilibidi nipate
Umepotea, sijakutia machoni mudaPole sana mkuu, fanya kusahau huyo mtu, halafu kwa nini ukatumia hela /savings Karibu yote kuanzisha biashara? ..pole sana ila ndio kujifunza
Haikua dhamira yako ila ulipoteza umakini na kudumbukia kwenye shimo huku ukijiona
Aliyekupeleka kwa huyo mnunuzi ndiye tapeli, wala siyo mnunuzi wako.
Anza na huyo aliyekupeleka huko.
Everyday is Saturday................................ 😎